CARIFONIA
JF-Expert Member
- Aug 17, 2013
- 518
- 901
Dodoma ndio mji mkuu wenye chuo kikubwa kuliko vyuo vyote vilivyopo kusini mwa jangwa la sahara, UDOM au ukipenda kiite Chuo Kikuu cha Dodoma.
Dodoma ndio mji mkuu wenye bunge nzuri na kubwa kuliko mabunge yote ya nchi za East Africa.
Dodoma ndio mji mkuu wenye ikulu yenye eneo kubwa, na inavyoonekana ndio itakua ikulu nzuri kuliko zote katika nchi za East Africa
Dodoma ndio mji mkuu wenye stand nzuri ya mabasi zaidi ya mji mkuu wa Kenya Nairobi.
Dodoma ndio mji mkuu unatazamiwa kujengwa uwanja mkubwa wa mpira unaotarajiwa kuwa uwanja mkubwa zaidi kwa nchi zilizopo Kusini mwa Jangwa la Sahara, ambapo uwanja huo ukikamilika utakua na uwezo wa kubeba watazamaji laki moja.
Dodoma ndio mji mkuu upo mbioni kujenga kiwanja kikubwa cha ndege, kiwanja hicho cha kisasa inasemekana kikikamilika ndio kitakuwa kiwanja cha kisasa zaidi kuliko kiwanja cha ndege cha Nairobi, Kenya, Jomo Kenyatta International Airport
Hapo bado sijakupa facts za ujenzi na projects za ujenzi wa mji wa kisasa wa Msalato ndani ya Dodoma ambapo kuna miradi wa ujenzi wa hotel zenye hazi ya nyota tano, maeneo ya shopping centre maarufu kama malls na vitu kibao ambavyo vitajengwa Dodoma.
Kwa ninavyoona, Dodoma anakuja kumpumzisha kaka yake DSM kwenye battle na Nairobi, kwani DSM inabidi kuanza kubato na majiji makubwa kama joz, Lagos na Cairo ukizingatia DSM ina population kubwa zaidi ya Nairobi na kuipambanisha na Nairobi huwa ni kutoitendea haki kwani population ya Nairobi ni ku-battle na majiji kama Kampla na Kigali, na kama unavyojua sifa ya majiji makubwa mengi hua na population kubwa.
Point yangu hapa Dar i-battle na majiji yenye population kubwa, majiji yenye bahari na majiji yaliunganishwa kwa train za umeme.
😂😂 naona soon tunaaza battle ya Nairobi vs Dodoma
Dodoma ndio mji mkuu wenye bunge nzuri na kubwa kuliko mabunge yote ya nchi za East Africa.
Dodoma ndio mji mkuu wenye ikulu yenye eneo kubwa, na inavyoonekana ndio itakua ikulu nzuri kuliko zote katika nchi za East Africa
Dodoma ndio mji mkuu wenye stand nzuri ya mabasi zaidi ya mji mkuu wa Kenya Nairobi.
Dodoma ndio mji mkuu unatazamiwa kujengwa uwanja mkubwa wa mpira unaotarajiwa kuwa uwanja mkubwa zaidi kwa nchi zilizopo Kusini mwa Jangwa la Sahara, ambapo uwanja huo ukikamilika utakua na uwezo wa kubeba watazamaji laki moja.
Dodoma ndio mji mkuu upo mbioni kujenga kiwanja kikubwa cha ndege, kiwanja hicho cha kisasa inasemekana kikikamilika ndio kitakuwa kiwanja cha kisasa zaidi kuliko kiwanja cha ndege cha Nairobi, Kenya, Jomo Kenyatta International Airport
Hapo bado sijakupa facts za ujenzi na projects za ujenzi wa mji wa kisasa wa Msalato ndani ya Dodoma ambapo kuna miradi wa ujenzi wa hotel zenye hazi ya nyota tano, maeneo ya shopping centre maarufu kama malls na vitu kibao ambavyo vitajengwa Dodoma.
Kwa ninavyoona, Dodoma anakuja kumpumzisha kaka yake DSM kwenye battle na Nairobi, kwani DSM inabidi kuanza kubato na majiji makubwa kama joz, Lagos na Cairo ukizingatia DSM ina population kubwa zaidi ya Nairobi na kuipambanisha na Nairobi huwa ni kutoitendea haki kwani population ya Nairobi ni ku-battle na majiji kama Kampla na Kigali, na kama unavyojua sifa ya majiji makubwa mengi hua na population kubwa.
Point yangu hapa Dar i-battle na majiji yenye population kubwa, majiji yenye bahari na majiji yaliunganishwa kwa train za umeme.
😂😂 naona soon tunaaza battle ya Nairobi vs Dodoma