FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
U're collect upande wako lkn hauwezi kuwa sawa upande wangu coz of yo aggressive attack.
= You're correct
Tatizo la Watanzania wengi badala ya ku appreciate mnapopewa darsa huwa mnaona kama mmetiwa mkuki moyoni, ndiyo maana hamjifunzi mapya.
Ulitakiwa u appreciate, urudi juu kwenye post yako urekebishe makosa na unipe like. Siyo uje na sababu lukuki wakati kosa liko wazi.
Ndiyo maana Watanzania kuwajibika ni vigumu sana, watu hata wanapofundishwa na kusahihishwa wao wanafikra hasi tu.