Thierry Henry astaafu soka rasmi

Thierry Henry astaafu soka rasmi

All the best TITI...one of the best strikers ever to be witnessed by my generation..most gifted footballer to ever play for arsenal.
 
Nenda kapunzike Chogo Chemba..jamaa amehama Asernal ameenda kubeba ndoo ya UEFa Barca,angalau ametoa nuksi.
 
2418ECE700000578-2876582-image-a-14_1418767455238.jpg

  • SHARE PICTURE


+7




2418ECFB00000578-2876582-image-m-13_1418767448847.jpg


+7





Thierry Henry has become the best-paid pundit in English football by a distance after joining Sky Sports


 
Wapenzi wa soka na fans wa klabu kadhaa.
Thierry Henry, mmoja kati ya wachezaji bora wa muda wote duniani amestaafu rasmi soka kuanzia juzi (Jumanne) mchana na tayari wachezaji mbalimbali na wapenzi wa soka wametoa sifa kwa staa huyo wa Ufaransa.

Henry anakumbukwa kwa kipindi chake cha maisha ya soka akiwa na AS Monaco, Juventus, Arsenal, Barcelona na New York Redbull ya Marekani, lakini anakumbukwa zaidi katika kipindi bora cha soka alichocheza akiwa Arsenal.

Akiwa klabuni hapo, Henry alifunga mabao 228 katika mechi 377 na hivyo kuwa mfungaji bora wa muda wote Arsenal huku akitwaa mataji mawili ya
ligi na matatu ya FA.
 
Jamaa nilimu inspire sana, kati ya wachezaji waliokuwa hawajivuni saaaana huyu ni mmojawapo.
Asante Thierry Henry.
 

Attachments

  • 1418970483818.jpg
    1418970483818.jpg
    22.4 KB · Views: 348
The LEGEND HENRY:
We just say goodbye from the pitch.
 

Attachments

  • 1418971019574.jpg
    1418971019574.jpg
    6 KB · Views: 637
  • 1418971065866.jpg
    1418971065866.jpg
    5.2 KB · Views: 644
  • 1418971087110.jpg
    1418971087110.jpg
    3.9 KB · Views: 641
  • 1418971104841.jpg
    1418971104841.jpg
    3.6 KB · Views: 643
Siyo aliku inspire?

Lugha za watu hizi jamani, au ulitaka kusema ulimu admire?

Asante kwa kutafuta kosa (LIKE) kubwa, ila nlchokuwa namaanisha umekiweka, na bahati nzuri kama si mbaya hizi simu tutumiazo nazo zina ajizi unapoandika neno kabla hujamaliza yenyewe inakuwekea neno tayari, so safari inasonga mbele, FaizaFoxy
 
Asante kwa kutafuta kosa (LIKE) kubwa, ila nlchokuwa namaanisha umekiweka, na bahati nzuri kama si mbaya hizi simu tutumiazo nazo zina ajizi unapoandika neno kabla hujamaliza yenyewe inakuwekea neno tayari, so safari inasonga mbele, FaizaFoxy

Hizo simu wote tunazitumia na siwezi amini ukiandika "admire" itabadili iwe "inspire", poor reasoning.

Kuwa makini zaidi unapoandika na unapojitetea, JF hachekewi mtu.
 
Hizo simu wote tunazitumia na siwezi amini ukiandika "admire" itabadili iwe "inspire", poor reasoning.

Kuwa makini zaidi unapoandika na unapojitetea, JF hachekewi mtu.


U're collect upande wako lkn hauwezi kuwa sawa upande wangu coz of yo aggressive attack.
 
Siyo aliku inspire?

Lugha za watu hizi jamani, au ulitaka kusema ulimu admire?

Huyu mwehu vipi? Kwani Henry hawezi ku inspire kijana wa kitanzania??
Kwani henry alikuwa hana life nyingine zaidi ya mpira. Ungetakiwa umuulize ameku-inspire kwa lipi sio kumrushia maneno na kejeli

Wewe Faiza akili yako haina akili na mshari sana !!
 
Huyu mwehu vipi? Kwani Henry hawezi ku inspire kijana wa kitanzania??
Kwani henry alikuwa hana life nyingine zaidi ya mpira. Ungetakiwa umuulize ameku-inspire kwa lipi sio kumrushia maneno na kejeli

Wewe Faiza akili yako haina akili na mshari sana !!

Nenda kasome upya, yeye amesema amemu inspire Henry, siyo yeye kawa inspired na Henry.

Wacha kiherehere.
 
Back
Top Bottom