Ni vema kuwa hiyo eviction order imesitishwa, lakini THI wafuate na kutimiza makubaliano yao ya kulipia pango.
NN... ngoja tukigeuze kibano.. keep watching..
Will the waiting take long as the EPA report? I hope not! Bado tupo
Mzeeba...akili yako usiiweke kama wasomaji wa magazeti ya Shigongo..ambao wameziweka akili zao rehani kwa shigongo..on the so called itaendelea wiki ijayo....