Ooyooo ndo utamaduni wa mwaafirika huu na akiwa baba hatakuwa na uwezo wa kuuandika hata jina lake na matokeo yake kutokujua mahisabu yake na sharia za kudai mafao yake ya kazi iwe makampuni ya ubinaf au kiserikali na hawa watu wa aina hii ni wapo tele na wanafanyewa dhuluma kubwa sana na maofisa na matajiri huwa lao mmoja ni kumkandamiza mnyonge basi na hii topic mukisha soma tu basi muitafakuru na kutafakari ni ndogo hii stori
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.