Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Hawa jamaa wanaendesha wizi wa waziwazi tena kibaya zaidi wana exploit vijana wanaotafuta kazi.Yaani baada ya kuapply kazi kwao walizotangaza kwenye magazeti wanakuita kwenye interview lakini wanakutaka ulipie 20,000/-, sasa hawa si wana take advantage ya watu wanaotafuta ajira?
Mamlaka zinazohusika ziko wapi?au wanasubiri hali iwe tete kama ya DECI?
Mamlaka zinazohusika ziko wapi?au wanasubiri hali iwe tete kama ya DECI?