Tujikumbushe habari za pressure mkuu.. tembo anaweza pita kwenye theruji asizame mimi nikazama.. Surface area lazima ihusike.sawa lakini kwa ukubwa wa Goliath na udogo wa Daudi this feat was nearly impossible!.
chukua muda, nitakusubiri..🙂Hoja zako ni kubwa shida siwez kuandika gazeti kwa simu..
come on mzee!!.. unajua utanifungulisha darasa usiku huu!!Tujikumbushe habari za pressure mkuu.. tembo anaweza pita kwenye theruji asizame mimi nikazama.. Surface area lazima ihusike.
Mkuu methuselah kazaliwa 3680 BC wakati ustarabu wa Egypt ulikua 3100 huko hapa ni kweliNah, kipndi cha metusela wamisri walikuwa bado saana kustaarabika!.. Kipindi hiko bado wamisri ni makabila/kikundi cha watu tu!.Hata Astronomy na Zodiac zilikuwa bado hazijaanza kueleweka!.
I idia!.
Sina mzuka wa kuandika wiki hii..come on mzee!!.. unajua utanifungulisha darasa usiku huu!!
So mtu akiwa na mwili mkuubwa anaweza ishi kuliko mwenye umri mdogo?YES, ukubwa wa kiumbe unachangia sana kuamua life span yake!, Imagine wakati tembo anatumia dakika 3 (i stand to be corrected) moyo kutoa beat moja, Panya anatoa beat 200 (i stand to be corrected too) kwa dakika!. Its all about size that matter!.
unajua bunduki inayotumika kumuua tembo/nyati?..Sina mzuka wa kuandika wiki hii..
Sawa jamaa alikua mkubwa kwani juee dogo lenye pressure (force) kubwa likipiga kwenye frontal lobe haliwezi kuleta madhara kwa unavyooona
Caliber mkuu.. japo risasi zake ni kubwa kiasiunajua bunduki inayotumika kumuua tembo/nyati?..
ceteris paribus, YESSo mtu akiwa na mwili mkuubwa anaweza ishi kuliko mwenye umri mdogo?
Sio kwamba wale jamaa walikua na mwili mkubwa so mazingira yao yalikua yapo compatible na watu wa dizaini hiyo. Nasi tunamili midogo mazingira yetu yanaruhu watu kama sisi. ?ceteris paribus, YES
Me na wewe tutadiscuss vizuri kesho (baadae)!..Sio kwamba wale jamaa walikua na mwili mkubwa so mazingira yao yalikua yapo compatible na watu wa dizaini hiyo. Nasi tunamili midogo mazingira yetu yanaruhu watu kama sisi. ?