There'll Be No Escape in Future From Telephone

chama mpangala

JF-Expert Member
Sep 3, 2015
508
704
IMG-20191105-WA0001.jpg
 
sawa na kuuliza Daudi aliwezaje muua Goliath na kajiwe!?:)
Kajiwe kanaweza kua kadogo ila force kama ilikua kubwa na kakapiga maeneo mabaya unaweza dedi.. devi alitumia "Kombeo" Kwa sie tuliowinda na kuchunga maharage yasiliwe na nyani tunajua hii kifaa vizuri
 
Kajiwe kanaweza kua kadogo ila force kama ilikua kubwa na kakapiga maeneo mabaya unaweza dedi.. devi alitumia "Kombeo" Kwa sie tuliowinda na kuchunga maharage yasiliwe na nyani tunajua hii kifaa vizuri
1. waliwezaje/walihesabu vipi miaka kabla ya AD ikiwa kalenda ya kupanga siku ilianzishwa na Gregory? (inawezekana kuna makosa ya kihesabu)
2. Metusela kama aliishi miaka 1000+ iweje hakuna historia yake kwa undani (amezidiwa hata na aliyeishi miaka 35-Yesu)
3. Watu wa zamani walikuwa naturally giants hii ni moja ya sifa iliyopelekea kuishi muda mrefu (hakuna kiumbe kidogo/kifupi kinachoishi muda mrefu). but i doubt it!.

PS: kuna eneo critical kwenye paji la uso?
 
1. waliwezaje/walihesabu vipi miaka kabla ya AD ikiwa kalenda ya kupanga siku ilianzishwa na Gregory? (inawezekana kuna makosa ya kihesabu)
2. Metusela kama aliishi miaka 1000+ iweje hakuna historia yake kwa undani (amezidiwa hata na aliyeishi miaka 35-Yesu)
3. Watu wa zamani walikuwa naturally giants hii ni moja ya sifa iliyopelekea kuishi muda mrefu (hakuna kiumbe kidogo/kifupi kinachoishi muda mrefu). but i doubt it!.
1. Itakua walifanya makadirio tu ili kupata miaka.. ila ukitumia logic ya kalenda ya gregory au Julián utaishia kupata ukakasi.. ila katika kipindi hiko pia watu hawakua nyuma kwenye masuala ya Astronomy na Zodiac..Kipindi hiko ustaarabu wa wamisri ndio ulikua umeenea labda walitumia means moja wapo.

2. Labda unaposema hakuna historia yake sana unakua una refer kutoka kitabu kipi I assume unatumia bible right? Labda waliona mambo yake kuyaorodhesha haina faida...kuna characters wengine wametajwa jina tu.

3. Hivi ukubwa au umbile la mtu haliwezi athiri life span ya mtu?
 
1. Itakua walifanya makadirio tu ili kupata miaka.. ila ukitumia logic ya kalenda ya gregory au Julián utaishia kupata ukakasi.. ila katika kipindi hiko pia watu hawakua nyuma kwenye masuala ya Astronomy na Zodiac..Kipindi hiko ustaarabu wa wamisri ndio ulikua umeenea labda walitumia means moja wapo.

Nah, kipndi cha metusela wamisri walikuwa bado saana kustaarabika!.. Kipindi hiko bado wamisri ni makabila/kikundi cha watu tu!.Hata Astronomy na Zodiac zilikuwa bado hazijaanza kueleweka!.

2. Labda unaposema hakuna historia yake sana unakua una refer kutoka kitabu kipi I assume unatumia bible right? Labda waliona mambo yake kuyaorodhesha haina faida...kuna characters wengine wametajwa jina tu.
I don't merely refers to bible nimetafuta sehemu mbalimbali hata kwenye vitabu vingine sijaona historia ya Metusela kwenye miaka yake 1000+ aloiishi, fun thing is kuna walomtangulia wana historia zao iweje yeye aloishi kuliko binadamu yeyote kakosa maandishi?.

3. Hivi ukubwa au umbile la mtu haliwezi athiri life span ya mtu?
YES, ukubwa wa kiumbe unachangia sana kuamua life span yake!, Imagine wakati tembo anatumia dakika 3 (i stand to be corrected) moyo kutoa beat moja, Panya anatoa beat 200 (i stand to be corrected too) kwa dakika!. Its all about size that matter!.


PS: kuna kitabu kinaitwa 'Place and Space in the Medieval World
by Meg Boulton i think kitaweza kukusaidia!.
 
Back
Top Bottom