Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Kama wewe n mtumiaji wa gmail Account. Kuna message zinatumwa na inaonekana umezituma wewe. Lakini ukweli ni kwamba hujazituma wewe. Na hakuna mtu aliye hack email yako. wanachofanya ni kuchukua email yako na kuitumia kwa kutuma. Inatoma kwenye domain tofauti kabisa inaitwa telus.com
Unachotakiwa na kulipoti spam au kuifuta hito message.
Kunataarifa zimesambaa duniani kote kwa sasa.
Unachotakiwa na kulipoti spam au kuifuta hito message.
Kunataarifa zimesambaa duniani kote kwa sasa.