There is no such thing called "ONE MAN SHOW"

There is no such thing called "ONE MAN SHOW"

Mtini

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
1,493
Reaction score
2,366
Katika kipindi hiki cha kampeni tumeshuhudia CCM ikifanya vituko vingi katika kumnadi mgombea wao DK John P. Magufuli. Tumeona wameacha kusema CHAGUA CCM sasa wanasema CHAGUA MAGUFULI hii ni kwasababu CCM haiuziki kwa wananchi kwa kuwa imechafuka sana. Kudhibitisha hili Katibu wa chama ndg kinana alikiri akiwa kaskazini kuwa tumchague Magufuli ila asafiche chama kazi ambayo uongozi wa sasa umeshindwa licha ya kupigiwa kelele sana na wananchi.

Wanasema tumchague Magufuli kwa kuwa ni mtendaji ndio ni kweli ana sifa hiyo hatuwezi kukataa. Tatizo % kubwa ya makada wa CCM wanaotarajiwa kufanya kazi na Magufuli wanaandamwa na kashfa pia bila kusahau ndio waliotufikisha hapa tulipo. Sasa tunawezaje kuamini katika ONE MAN SHOW? Magufuli ana macho ya kuona hadi kinachofanywa na Bwana afya wa mtaa huku chini tuliko sisi?

Maandiko ya Yesu yanasema "WATU HAWAWEKI MVINYO MPYA KATIKA KIRIBA CHA ZAMANI, MVINYO MPYA KATIKA KIRIBA KIPYA" Kwa maneno haya MAGUFULI ANGEWEZA KUWA CHAGUO SAHIHI KAMA ANGEKUWA UKAWA

Msigwa aliwahi kusema "PROBLEMS CANNOT BE SOLVED BY THE SAME MIND WHICH CREATED THEM"
 
problems cannot be solved by the same mind which created them
 
Katika kipindi hiki cha kampeni tumeshuhudia CCM ikifanya vituko vingi katika kumnadi mgombea wao DK John P. Magufuli. Tumeona wameacha kusema CHAGUA CCM sasa wanasema CHAGUA MAGUFULI hii ni kwasababu CCM haiuziki kwa wananchi kwa kuwa imechafuka sana. Kudhibitisha hili Katibu wa chama ndg kinana alikiri akiwa kaskazini kuwa tumchague Magufuli ila asafiche chama kazi ambayo uongozi wa sasa umeshindwa licha ya kupigiwa kelele sana na wananchi.

Wanasema tumchague Magufuli kwa kuwa ni mtendaji ndio ni kweli ana sifa hiyo hatuwezi kukataa. Tatizo % kubwa ya makada wa CCM wanaotarajiwa kufanya kazi na Magufuli wanaandamwa na kashfa pia bila kusahau ndio waliotufikisha hapa tulipo. Sasa tunawezaje kuamini katika ONE MAN SHOW? Magufuli ana macho ya kuona hadi kinachofanywa na Bwana afya wa mtaa huku chini tuliko sisi?

Maandiko ya Yesu yanasema “WATU HAWAWEKI MVINYO MPYA KATIKA KIRIBA CHA ZAMANI, MVINYO MPYA KATIKA KIRIBA KIPYA” Kwa maneno haya MAGUFULI ANGEWEZA KUWA CHAGUO SAHIHI KAMA ANGEKUWA UKAWA

Msigwa aliwahi kusema “PROBLEMS CANNOT BE SOLVED BY THE SAME MIND WHICH CREATED THEM”

Umeonaa ? Your right brother 100% Walking tall is a final chapter for now.Hakuna wa kuzuia ukubwa wa itaji la mabadiliko.ataa magufuli ameona One man show can't work.ndio maana unaona anamwaga ahadi kama ana akili nzuri .baada ya gundua peke yake kama mtaji aigusi mioyo ya watanzania.pia kumbuka nimwalimu kwa kipaji hicho amegundua mafuriko yake ni ya kutengenezwa .ndio maana unaona katikati ya umati wa watu wamevaa kijani anaomba kura kwa vyama vya upinzani..
 
Umeonaa ? Your right brother 100% Walking tall is a final chapter for now.Hakuna wa kuzuia ukubwa wa itaji la mabadiliko.ataa magufuli ameona One man show can't work.ndio maana unaona anamwaga ahadi kama ana akili nzuri .baada ya gundua peke yake kama mtaji aigusi mioyo ya watanzania.pia kumbuka nimwalimu kwa kipaji hicho amegundua mafuriko yake ni ya kutengenezwa .ndio maana unaona katikati ya umati wa watu wamevaa kijani anaomba kura kwa vyama vya upinzani..

You are wrong brother 100%
 
Umeonaa ? Your right brother 100% Walking tall is a final chapter for now.Hakuna wa kuzuia ukubwa wa itaji la mabadiliko.ataa magufuli ameona One man show can't work.ndio maana unaona anamwaga ahadi kama ana akili nzuri .baada ya gundua peke yake kama mtaji aigusi mioyo ya watanzania.pia kumbuka nimwalimu kwa kipaji hicho amegundua mafuriko yake ni ya kutengenezwa .ndio maana unaona katikati ya umati wa watu wamevaa kijani anaomba kura kwa vyama vya upinzani..

Anatoa ahadi kama za aliyepita ambazo hadi leo hazijatekelezwa
 
Katika kipindi hiki cha kampeni tumeshuhudia CCM ikifanya vituko vingi katika kumnadi mgombea wao DK John P. Magufuli. Tumeona wameacha kusema CHAGUA CCM sasa wanasema CHAGUA MAGUFULI hii ni kwasababu CCM haiuziki kwa wananchi kwa kuwa imechafuka sana. Kudhibitisha hili Katibu wa chama ndg kinana alikiri akiwa kaskazini kuwa tumchague Magufuli ila asafiche chama kazi ambayo uongozi wa sasa umeshindwa licha ya kupigiwa kelele sana na wananchi.

Wanasema tumchague Magufuli kwa kuwa ni mtendaji ndio ni kweli ana sifa hiyo hatuwezi kukataa. Tatizo % kubwa ya makada wa CCM wanaotarajiwa kufanya kazi na Magufuli wanaandamwa na kashfa pia bila kusahau ndio waliotufikisha hapa tulipo. Sasa tunawezaje kuamini katika ONE MAN SHOW? Magufuli ana macho ya kuona hadi kinachofanywa na Bwana afya wa mtaa huku chini tuliko sisi?

Maandiko ya Yesu yanasema “WATU HAWAWEKI MVINYO MPYA KATIKA KIRIBA CHA ZAMANI, MVINYO MPYA KATIKA KIRIBA KIPYA” Kwa maneno haya MAGUFULI ANGEWEZA KUWA CHAGUO SAHIHI KAMA ANGEKUWA UKAWA

Msigwa aliwahi kusema “PROBLEMS CANNOT BE SOLVED BY THE SAME MIND WHICH CREATED THEM”
I do remember there was something called one man show,oh it was a cologne(marashi)
 
Angalau Magufuli ana dhamira ya kupapambana na ufisadi tofauti na Lowasa na UKAWA ambao hawaonyeshi dhamira kabisa! Sasa kipi bora, yule anaeonyesha dhamira ambae atawajenga moyo watu wema na kuwaofisha mafisadi au yule ambaye inajulikana ni mchafu ambaye ataishawishi jamii kuamini kuwa ufisadi ni mfumo rasmi wa maisha Tz?
 
Back
Top Bottom