There is NO need of Masters Degree for an Entrepreneur

RED: It says it All!!
 
COLLEGE/SCHOOL DROP OUT ENTREPRENEURS

Kumejitokeza debate mbalimbali kuwa wajasliamali wengi walio wazuri hawamalizi masomo yao, hii kwangu mm naona yaweza potosha jamii, ni kweli wapo wengi walio drop out lakini vilevile wengi zaidi wapo walio hitimu masomo yao na kufaulu kuwa wajasiliamari na zipo sababu pamoja na hizi chache;

Ndg zangu naomba niwaeleweshe hili College/school Drop outs!,,, Kusoma /biashara ni namna za kuhangaikia maisha, unapoanza tangu mapema aidha tangu primary schools inategemea kama wakati wote mawazo yako yanalenga(targeted objective) namna ya kuboresha maisha yako/kipato tambua kuwa wakati wowote ktk safari yako unaweza kukutana na njia iliyo bora kulingana na mazingira yaliyopo yanayokuzunguka ili kufikia hilo lengo lako mapema,aidha a good and viable Idea or business yaweza pelekea mhusika akaamua ku-drop au ku-disco… kwani mshika mbili moja humponyoka…. Hii ni tofauti kabisa na wale wenye malengo ya kupata elimu kamili /certification kwani lengo ni lazima amalize masomo aidha ili apate ajira, status n.k . Vyote havijali kabisa uwezo wako wa akili/uzembe/discipline n.k..
Second; kama wewe lengo ni kipato/entrepreneurship/kujiajiri lakini kwa muda wako wote wa masomo hujawahi/hukuwahi kupata deal or viable Idea hadi unamaliza MBA yako haina maana KABISA kuwa wewe sio Entrepreneur mzuri.. Ni sawa kabisa wako watu wanaajiriwa wakiwa bado viuoni mwaka wa mwisho, na wengine wanatafuta kazi hata 4yrs after his graduation may be with 3.6 GPA…..
Third:. Kwa hao role models kama Bill Gate,warrern baffet, n.k wakati mwingine unakuta wakati anaingia chuoni tayari anamalengo ya kazi/biashara specific ya kufanya hivyo anajuwa kabisa courses atakazo hitaji na akishazipata anaondoka kwani college programs zinaandaliwa in general hana haja ya kupoteza muda na kilichomleta tayari amepata…
Forth: Je kwa hao role models una uhakika gani kuwa hakujiendeleza/hajiendelezi kielimu baada ya hapo ? ? kwani nini maana ya elimu ?? Mimi nadhani ni kupata knowledge kwa namna yeyote ile ili kufanikisha malengo yako Na SIO ni kuhesabu madarasa na kushuhudia graduation !!??
Mara nyingi watu kama hawa wana elimu kubwa sana na (relevant,real and effective education) kuliko hiyo ya kuhesabiwa miaka na madarasa au certificates mfano mm nimeshuhudia mtu hajamaliza hata “O”Level lakina ana-apply university techniques kama vile NPV,IRR,PBP etc.. for Investment analysis/appraisal,
 
Jaribu kurudia taratibu kusoma walichoeleza wenzako utawaelewa , hawakatazi mtu kuenda kupata elimu, wanachosema ni kwamba watanzania walioengi wanasubiri mpaka wapata degree mbili ( masters) ndipo waingie kwenye ujasiia mali , mwanzilishi wa mjadara anajaribu kuwaasa vijana kubadili hivyo tabia , anasema hata kama una elimu ndogo kama hiyo uliyonayo unaweza kufanya ujasilia mali, akatoa mfano wake yeye kwamba katika masomo yote aliyosoma kwenye shahada ya kwanza ni masomo matatu tu ambayo amekuwa akiyatumia kwenye maisha yake.
kuna jambo umelizungumza kwamba shule inasaidia kuchanganua mambo vizuri ni kweli, lakini naomba nikusaidie kitu ambacho kimenisaidia mimi soma sana vitabu kama think and grow rich cha napolen hill, na the magic of thinking big na vinginevyo vitakusaidia sana.
mimi sina degree kila mwaka naahirisha ila baadhi ya wafanyakazi wangu wanadegee hivyo natumia degree zao kufanikisha ufanisi wa biashara, kwa hivyo kwangu mimi degree naiheshimu sana ila sina haraka ya kuipata kwa sasa nasoma na abe uk ,. sisomi ili niajiriwe labda katika sehemu hiyo nahisi napishana na mitazamo ya watanzania wenzangu wengi ambao wameaminishwa kwamba ili ufanikiwe unahitaji degree
 

Kweli majina yana maana. sawasawa AKIRI keep it up on what your doing. Point noted oa
 
Entrepreneurship ni kitu kizuri lakini tukumbuke kuwa majority ya Entrepreneurial ventures zinafeli, ndani ya miaka mitano asilimia 50% ya biashara mpya zinafeli ndani ya miaka kumi asilimia karibia 70 zinafeli (Data za wenzetu, Bongo data tatizo).

Na hata ambazo zinaendelea kufanya kazi ni chache ambazo zitaleta utajiri, hivyo kupata elimu ambayo itakupa kazi nzuri sio kitu kibaya kama mnavyofikiri, sio kila mtu anapenda kuchukua risk za kuanzisha biashara mwenyewe. Zaidi ya hapo kuna sababu nyingi za kupata elimu ya juu, sio kila mtua anawaza pesa tu.

Kuhusu Bill Gates lazima muangalie situation aliyokulia yeye, msije mkajifananisha mkaumia. Kwanza amezaliwa kwenye familia ya kitajiri ambayo ilimwezesha kwenda shule ambayo aliweza kupata access ya kompyuta wakati kompyuta zilikuwa chache sana duniani. So sio tu alikuwa na akili/passion bali alikuwa yuko right place na right time na right connections.
 
That is a superstructure kama haina strongest base lazima ianguke tuu. Mara ingine people with disabilities nchi zilizoendela wanapelekwa VETA kwa gharama nafuu ikiwa ni govt initiatives hali mradi kila mtu aweze kulipa kodi hata kama ni kidogo kwa ajili ya hizo initiative kama za afya na sustainable ajira.

Nchi kama Australia unayo digrii yako kama huna experience hata Abotour (kiwanda cha kusindika nyama) hawakutaki kwa hiyo elimu ya veta ni kiungo cha uchumi wa nchi yoyote ile kama wanahitaji ukuaji wa uchumi ila Tz VETA haifai kwani no govt initiatives i.e ya kuzalisha ajira na support for people with disability au low socioeconomic income.
 
 
Wana jf nawashukuru sana hii thread is invaluable in our colleges community especially departments/faculties of business, am calling for lectures to take it as career preparation and working ground situation analysis of self employment and employments.
 
kang kama ulivyosema hizo ni data za wenzetu majuu ambako competetion ni kali na karibu kila opportunity iko covered lakini kwa nchi kama yetu ukiwa na bachela na kutumia juhudi na maarifa katika kufanya ujasiriamali nafikiri failure rate itakuwa ndogo sana. naunga mkono mada
 

Waache watu wasome. Kwa sababu hata wakishindwa kufanya biashara, they will be better parents.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…