mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
Nimekua nikiona na kushangaa sana jinsi vijana sasa tulivo desparate kulast kwenye 6*6 kuliko kulast kazin.
-Vijana wako in research kuongeza nguvu za kiumeni kuliko hata wazee.
-Kijana anajituma kingono kumridhisha mwanamke ambaye hana hakika hata ya kumuoa kuliko anavojituma kwenye kibarua kinachompa kula.
Siku izi ikitokea mtoto wa kike akikutunuku na wewe ukawa hauko interest wenzio wanakuona unakasoro. Kwa nini upewe ukatae. Kwa nini unakataa chakula..
My call kwa vijana wenzangu (Boys). Let sex be just a thing. Focus on important aspects of your life. Ngono ilikuepo ipo na itakuepo ila maisha ni Mara moja na hayana repeat button. Ukicheza mistake unaweza ukajikuta position mbaya sana.
Wanawake warembo wapo na watazidi kuwepo. Sikiliza kichwa chako chenye ubongo na si kile kingine.
-Vijana wako in research kuongeza nguvu za kiumeni kuliko hata wazee.
-Kijana anajituma kingono kumridhisha mwanamke ambaye hana hakika hata ya kumuoa kuliko anavojituma kwenye kibarua kinachompa kula.
Siku izi ikitokea mtoto wa kike akikutunuku na wewe ukawa hauko interest wenzio wanakuona unakasoro. Kwa nini upewe ukatae. Kwa nini unakataa chakula..
My call kwa vijana wenzangu (Boys). Let sex be just a thing. Focus on important aspects of your life. Ngono ilikuepo ipo na itakuepo ila maisha ni Mara moja na hayana repeat button. Ukicheza mistake unaweza ukajikuta position mbaya sana.
Wanawake warembo wapo na watazidi kuwepo. Sikiliza kichwa chako chenye ubongo na si kile kingine.
