The world needs Donald Trump

The world needs Donald Trump

Take it easy Bro! Do you know the Japanese were the most ruthless during that time. You read books but me am mingling with them. After the atomic they decided to leave behind aggression and invading and vowed never to engage in wars with other nations and focus concentrate more on education and technology. They took many youths to American colleges and university.

Also when I say we should be nuked doesn't mean necessarily a nuclear bomb should be dropped on us

Note

If you want to learn history more ifficiently it's not only reading history books try to meet mingle with people from different cultures and ask and inquire more about their way of life!

Take it easy dude!
You take it easy with your more "ifficient" history learning and "mingling" with I don't know what. Of course wars, militarism and aggression are very expensive. My point is that the Japanese were already very advanced. They built aircraft carriers, planes and weapons to challenge American dominance in the Pacific. Nuke or no nuke, they were set continue. By the time the nukes were dropped, the Japanese were planning a surrender. It was over.
Language that talks of nuking as if it is just a score on a game is dangerous too. You are predisposing yourself to aggressive tendencies. And since Trump has talked about carpet bombing some place and you seem to support him, I take particular offense to this kind of language.
Oh, and about meeting people. I have been to many places on this planet and have lived with people from different cultures. Advise to you: communicate with Americans and learn what they think about Trump. Don't just read some cheap satirical social media that claims Trump said this or that about Africa because he has not said those things. I bet if you did so, you would get a totally different picture of your hero Trump. Trump is a con-man and has no temperament to lead any nation on this earth. Listen to him critically.
 
Pierre, I doubt kama kweli unamsikiliza huyu jamaa unayemsifia. Usije ukachukua tu maneno ya mtaani ukaamini kasema Trump. Kwanza sijui hata kama anajua kama kuna Tanzania. Na hajawahi kuzungumzia Afrika. Najua hapa Bongo watu wanadai kasema hivi au vile. Lakini kama alivyosema Nyani Ngabu tena na tena, Trump hajasema hayo mambo. Na kwa Wabongo ni upuuzi kuanza kujihesabia kwamba Trump atakuwa mkombozi wa Afrika. Ni lini Waafrika tutaacha ukahaba wa kijinga wa kungojea mzungu fulani aje kutukomboa?
Nadhani hujanielewa mkuu, Hakuna anaedhani kama kuna mzungu yoyote anaweza kuwa mkombozi wa Afrika wala hakuna anaeyesema kuwa Trump atakuja kuwa Mkombozi wa Africa. Nlichoongea mimi ni mentally ya kazi ya trump inanafasi kubwa yakubust uchum wa Africa Especially Tanzania kutokana na Rais Tulie nae . . .

Swala la Trump kuisema afrika na waafrika lina ukwel, Yale madai ya mwanzo sikuwah kuyasikia ila juzi trump kasema kama akiwa Rais inabid waafrika hasa wanigeria warudi nyumban kwa sabab wanachukua ajira za wamarekani. Na akasisitiza anaongelea waafrika sio wamarekani weusi.
 
Mkutano wa Donald
Trump wakumbwa na
ghasia

Mkutano ulipangwa kufanyika
katika jimbo la Chicago nchini
Marekani wa mgombea wa chama
cha Republican Donald Trump
umehairishwa baada ya kutokea
maandamano.

Mkutano huo ulifutwa pia kutokana
na sababu za kiusalama baada ya
bwana Trump kukutana na maafisa
wanaohusika na masuala ya usalama
wa eneo hilo.

Mamia ya watu walikuwa
wamekusanyika nje ya chuo ya
Illinois saa chache kabla ya bwana
Trump kuwasili.

Mapema polisi waliwakamata zaidi ya
watu 30 katika mkutano wa Trump
katika jimbo la Missouri. Ndani ya ukumbi wa mkutano huo
vita vilizuka kati ya wafuasi wa na
waandamanaji ambao
walipeperusha bendera na kutoa
matamshi.

Taarifa kutoka kampeni ya bwana
Trump ilisema kuwa mgombea huo
aliamua kufutilia mbali mkutano huo
baada ya kukutana na maafisa wa
polisi.

Chanzo: BBC Swahili
 
Mkutano wa Donald
Trump wakumbwa na
ghasia

Mkutano ulipangwa kufanyika
katika jimbo la Chicago nchini
Marekani wa mgombea wa chama
cha Republican Donald Trump
umehairishwa baada ya kutokea
maandamano.

Mkutano huo ulifutwa pia kutokana
na sababu za kiusalama baada ya
bwana Trump kukutana na maafisa
wanaohusika na masuala ya usalama
wa eneo hilo.

Mamia ya watu walikuwa
wamekusanyika nje ya chuo ya
Illinois saa chache kabla ya bwana
Trump kuwasili.

Mapema polisi waliwakamata zaidi ya
watu 30 katika mkutano wa Trump
katika jimbo la Missouri. Ndani ya ukumbi wa mkutano huo
vita vilizuka kati ya wafuasi wa na
waandamanaji ambao
walipeperusha bendera na kutoa
matamshi.

Taarifa kutoka kampeni ya bwana
Trump ilisema kuwa mgombea huo
aliamua kufutilia mbali mkutano huo
baada ya kukutana na maafisa wa
polisi.

Chanzo: BBC Swahili
c0788987cac5caa976aa02431d780111.jpg


Nimeipa hyo mkuu...
 
Back
Top Bottom