The world needs Donald Trump

The world needs Donald Trump

yes my point ni kwamba anaweza kuiwakilisha chama ila asiweze kupata full support kutoka kwa wakubwa wake wa chama
Anasema yeye ndio only candidate since slavery anayejifadhili mwenyew kwenye kampen zake za urais, Ana pesa za kutosha anavyodai.
 
Afrika inamuhitaji ,kutokana na tabia za viongozi wetu wa afrika anaweza akajaribu kuwatumbua , kwenye mambo kama ya kubadirisha katiba na kuongeza muda wa utawala pia kwenye issue ya kuiba fedha na kuzificha katika mabenki ya nje, misaada kutotumika ipasavyo na mengine mengi yanayofanywa na viongozi wa afrika
 
Akipewa lzm marekani itaingia kwenye vita ni imani yangu na itakua hivyo
 
watanzania wanamuombea mmarekani ili tanzania ipate faida,masikini sisi
 
Kama kuna kipindi amerika na Dunia vinahitaji kiongozi wa namna ya Trump ni sasa, Licha ya kashfa nyingi anazotoa kwa Afrika na nchi nyingine kama Mexico na China ila Dunia ya sasa inamuhitaji sana, Hasa Tanzania kwa kuwa tumepata kiongozi mwenye hulka ya kazi ambayo ni legacy ya Trump mwenyewe basi itakuwa kolabo bora zaidi kama wamarekani watampa Trump urais.

Dunia ya sasa haihitaji Rais wa marekani mnafiki anayepaka nchi nyingine mafuta kwa mgongo wa chupa ili ale nao kama kipofu, Tunahitaji kiongozi wa Marekani aliye straight foward na asiyeogopa nchi yoyote akitaka kufanya biashara.

Moja ya jambo kubwa linalomchukiza Trump ni swala la marekani kujifanya kiranja wa dunia kila jambo lazima aingilie, yeye amesema kufanya hivyo ndio kunaifanya marekani irudishwe nyuma na nchi kama china.

So kama wamarekani watampa uyu jamaa nchi basi dunia itakuwa huru zaid kwenye biashara na nadhani kwa hari ya kazi ya Magufuli Tanzania tutapiga hatua kubwa . . .


1b62fcb528bec1ba8eeff8d36465a7fa.jpg
Hana jipya huyo
 
Huyu jamaa ndo anaonekana kupata nafasi kubwa sana ya kushinda ndani ya chama japo kuna habari kuwa hata chama chake hawataki yeye ashinde kutokana na tabia yake ya kuzungumza ukweli na uwazi kwa kila jambo. Ila huyu bwana naamini ndie atakae kuwa rais wa Marekani.
 
Afrika inamuhitaji ,kutokana na tabia za viongozi wetu wa afrika anaweza akajaribu kuwatumbua , kwenye mambo kama ya kubadirisha katiba na kuongeza muda wa utawala pia kwenye issue ya kuiba fedha na kuzificha katika mabenki ya nje, misaada kutotumika ipasavyo na mengine mengi yanayofanywa na viongozi wa afrika
Kwel kabsa..
 
Huyu jamaa ndo anaonekana kupata nafasi kubwa sana ya kushinda ndani ya chama japo kuna habari kuwa hata chama chake hawataki yeye ashinde kutokana na tabia yake ya kuzungumza ukweli na uwazi kwa kila jambo. Ila huyu bwana naamini ndie atakae kuwa rais wa Marekani.
Word
 
Umeelezea vyema ila umekuja kubugi baada ya kumuingiza Magufuli.
 
Back
Top Bottom