pierre buyoya
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 476
- 163
- Thread starter
- #41
Yuko vzurKweli nampenda huyu Mzee trump
Nataka awatie ndani mugabe na mseveni.pia wacha atutukane miafrika ndivyo tulivyoKama kuna kipindi amerika na Dunia vinahitaji kiongozi wa namna ya Trump ni sasa, Licha ya kashfa nyingi anazotoa kwa Afrika na nchi nyingine kama Mexico na China ila Dunia ya sasa inamuhitaji sana, Hasa Tanzania kwa kuwa tumepata kiongozi mwenye hulka ya kazi ambayo ni legacy ya Trump mwenyewe basi itakuwa kolabo bora zaidi kama wamarekani watampa Trump urais.
Dunia ya sasa haihitaji Rais wa marekani mnafiki anayepaka nchi nyingine mafuta kwa mgongo wa chupa ili ale nao kama kipofu, Tunahitaji kiongozi wa Marekani aliye straight foward na asiyeogopa nchi yoyote akitaka kufanya biashara.
Moja ya jambo kubwa linalomchukiza Trump ni swala la marekani kujifanya kiranja wa dunia kila jambo lazima aingilie, yeye amesema kufanya hivyo ndio kunaifanya marekani irudishwe nyuma na nchi kama china.
So kama wamarekani watampa uyu jamaa nchi basi dunia itakuwa huru zaid kwenye biashara na nadhani kwa hari ya kazi ya Magufuli Tanzania tutapiga hatua kubwa . . .
![]()
Nataka awatie ndani mugabe na mseveni.pia wacha atutukane miafrika ndivyo tulivyo

Yuko vzur..Kweli nampenda huyu Mzee trump
Huko ni kujilengesha kwa Trump. Hajawahi kuzungumza hayo juu ya Afrika. Yamezuliwa tu. Halafu, bado tuna mentality ya kitumwa tunamsubiri mzungu huyo aje atutatulie matatizo yetu? I am disgusted.Trump is the wright figure to rescue Africans and to end facism/dictatorship in our poor nose
You are sick! You don't seem to understand history. You are insulting people because of your ignorance. Unafikiri Wajapani waliendelea kwa sababu walipigwa mabomu ya atomic? Read a book!Am praying for Trump to be president so that he can nuke us we start afresh like Japan it's better that way Tanzania be like Hiroshima
Slander ndiyo nani? Mbona sijaona candidate mwenye jina hilo?Hata Democratic upinzan n mkubwa tena zaid ya Republican, kama umeangalia recently Hillary na Slander wanagawana sana majimbo...
Jiridhishe mwenyewe. Tafuta habari hizo, na hutaziona popote isipokuwa kwenye mitandao ya tashtiti ya hapa Afrika.Mbona Nyani Ngabu kila siku anayapinga haya matamshi inavosemekana hajazungumzia chochote kuhusu Africa na kama angesema basi kingekuwa ni habari kubwa sana kwenye karibu vyombo vyote ila inaishia mtandaoni
Pierre, I doubt kama kweli unamsikiliza huyu jamaa unayemsifia. Usije ukachukua tu maneno ya mtaani ukaamini kasema Trump. Kwanza sijui hata kama anajua kama kuna Tanzania. Na hajawahi kuzungumzia Afrika. Najua hapa Bongo watu wanadai kasema hivi au vile. Lakini kama alivyosema Nyani Ngabu tena na tena, Trump hajasema hayo mambo. Na kwa Wabongo ni upuuzi kuanza kujihesabia kwamba Trump atakuwa mkombozi wa Afrika. Ni lini Waafrika tutaacha ukahaba wa kijinga wa kungojea mzungu fulani aje kutukomboa?Very true.. This is a gentleman that can make the world great again not only america.
Nini ambacho kinakufanya umwone yeye ndiyo "mtu sahihi"? Hafai hata kwa nguru. Na atafanya mambo vibaya zaidi kuliko hata alivyofanya GW Bush.Mr trump apiteeeee,,, mtu sahihi kwa dunia ya sasaa
Take it easy Bro! Do you know the Japanese were the most ruthless during that time. You read books but me am mingling with them. After the atomic they decided to leave behind aggression and invading and vowed never to engage in wars with other nations and focus concentrate more on education and technology. They took many youths to American colleges and university.You are sick! You don't seem to understand history. You are insulting people because of your ignorance. Unafikiri Wajapani waliendelea kwa sababu walipigwa mabomu ya atomic? Read a book!
Pierre, I doubt kama kweli unamsikiliza huyu jamaa unayemsifia. Usije ukachukua tu maneno ya mtaani ukaamini kasema Trump. Kwanza sijui hata kama anajua kama kuna Tanzania. Na hajawahi kuzungumzia Afrika. Najua hapa Bongo watu wanadai kasema hivi au vile. Lakini kama alivyosema Nyani Ngabu tena na tena, Trump hajasema hayo mambo. Na kwa Wabongo ni upuuzi kuanza kujihesabia kwamba Trump atakuwa mkombozi wa Afrika. Ni lini Waafrika tutaacha ukahaba wa kijinga wa kungojea mzungu fulani aje kutukomboa?
The man is a moron who deserves to be nowhere near the White House. Bernie Sanders is actually the right man.The man deserves this position
Nataka kujua exactly ni nini hicho ambacho kina ukweli ambao yeye Trump hajaupinga na kuuviolate? Have you really listened to this man, au umepata tu maneno ya vijiweni? The man has flipflopped on everything. Analalamikia wahamiaji haramu, yeye mwenyewe ameajiri wengi tu. Umesahau alisema juu ya Iraq kwamba wakamwage mabomu kisha wachukue mafuta yao. Unadhani anataka uhuru wa nchi yoyote? Anataka mali zao. Ni huyo huyo aliyesema kwamba waue familia za magaidi. This kind of collective punishment inaonekana ndiyo mwelekeo wake. Nafikiria aseme tu kwamba Watanzania wote pia wasiruhusiwe kutoka hapa nchini kwa sababu wanaua Albino. Think about it. The man complains about viwanda kwenda nje, ilhali yeye mwenyewe ni namba moja katika outsourcing. Who is he fooling? Halafu anakaa anawakebehi vilema, anawatukana wanawake, mtu yeyote asiyekubaliana naye anamtukana tena matusi ya nguoni. Hiyo siyo temperament ya mtu anayetakiwa kuongoza taifa kama hilo. Yeye abakie kama mshereheshaji tu.Speech zake ukizujaji njenje waweza fikiriaa anakoseaa bt if u think twice,, he is right man to lead the nation,, kwa mtazamo wake dunia itakuwa free hasa zle nchi marekan alizozizoeaa kuzinyonyaa,, Mtazamo Wangu