The World is a flat plane and not a globe

VIDEO HII PENGINE UTAJIFUNZA KITU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezini unaanzaje kwenda


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli mkuu dunia ni duara dufu ila haizunguki jua alafu dunia huanza kupinda kuanzia mile 7 hivyo kama MTU akikaa eneo tambarare umbali huo hutamwona ni kuulize mfano dunia ikawa hakuna kizuizi chochote pako plain ukikaa tz utaiona us?
 
Mani they even say hakuna kitu kinaitwa sattelite

Mani am down
They first must define flat for this debate to be meaningful.

There is no debate without definitions.

In the Socratic tradition of rhetoric and dialogue.

So again.

What is flat? How do you know this is flat and that is not?

How do you verify?

Otherwise, one can look at mountains and valleys and say the world cannot be flat.

It has mountains and valleys. That is not flat.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna madhara gan kam watu wakijua dunia sio tufe ila ni tambarare??kwanini wakataze watu wasiende?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Camera sidhani ila naamini kwa macho tukitoa hizo factor tukaweka taa kubwa mwisho wa ncha moja ya duara na nikasimama ncha ya pili ya duara bila barrier hapo kati nitaona ule mwanga hilo naamini 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hili liweke katika uhalisia wa dunia yetu. Ili hili liwezekane inabidi tuzijue hizo ncha mbili dunia ziko wapi. Je nani anae jua nchs za dunia ziko wapi ?
 

Kwanza siamini katika dunia ni tambarare hapa unatakiwa uwe makini na nimeshalieleza hilo.

Sababu za jua kutokuwa Stationary ni nyingi, hapa nakutajia mbili.
1. Huchomoza mashariki na kuzama magharibi
2. Kuwepo usiku na mchanw

Nakuuliza swali : Kwanini mnadai ya kuwa jua liko stationary ? Nani amelithibitisha hilo ?

Wewe ushawahi kuthibitisha ya kuwa hizo projects za kweli au unaridhika na kusikia na kuona mapicha picha mtandaoni ?
 
You have my support, somewhere up there is a zone called parking orbit and it is where satellites are launched. Things sense no force there thats why they dont fall out.
So, this proves gravity influence exist below it, I wonder how the concept of gravity be explained in your sense of mind?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora tuendelee kusoma mada za kugegedana tu kuliko hizi mada za hovyo kabisa. Tatizo la wasomi wa kibongo hawana mada za maana zaidi ya kutunishiana misuli tu nani yuko nondo kwenye eigenvalue na eigenfuction au socratic tradition. Tunategeme mada kama hizi tupate elimu ya kutosha lakini matusi kibao, msomi gani unamwita mwezako mpumbavu kisa anahoji. Hao mnao waamini bila ya kupinga maono ya classical hiyo quantum ingekuwepo leo. Na huko kutumia lugha ngumu ndio tuwaone wasomi sana? Sijawahi kuona wasomi wa hovyo kama ninyi. Ngoja tuendelee kusoma mistari ya kutongazana kuliko huku mnatuchosha, nimesoma uzi wote sioni chochote cha maana zaidi ya majina ya wanasayansi na hiki unakijua. Shuwaini nyie
 
The earth and other massive bodies in space are round sababu ya gravity, Each atom katika body inavutwa toward a single point ambayo ni center. With presence of gravity kama dunia ingekua sahani, naturally ingecollapse kutengeneza duara.

Kusema dunia ni sahani inamaanisha gravity haipo tena kuna aina nyingine ya force ambayo wamegoma kuielezea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli mkuu dunia ni duara dufu ila haizunguki jua alafu dunia huanza kupinda kuanzia mile 7 hivyo kama MTU akikaa eneo tambarare umbali huo hutamwona ni kuulize mfano dunia ikawa hakuna kizuizi chochote pako plain ukikaa tz utaiona us?
Ndio kukiwa na no humidity,fog,smoke,dust,snow na other factors which cause unclearance

Dunia ni plane kusema duara unaongelea dome ambayo ni ems(electro magnetic shields)of hata hizo rockets zina bounce kuelekea heaven celestial levels

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Just use commonsense for even a second nani kaandika an intact ball is flat that is crazyness.

I told you a flat area according by defining earth is a horizontal plane where things can stay stationary whether in motion or not ,and when are incontact with the plane surface they cant fall front or backwards because its aint your spherical madness.
What are you talking about?

Is a ball that is intact flat?

What is intact?

Your answer raises more questions than it answers.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
And its flat because of the horizon in our own sight and presense of no curvature at all.

Species like us are hard to comprehend and accept reality because since young they are being indoctrinated with false knowledge and understandings.

Kiranga wake up the world you are is an existing virtual world because you are mere part of the system kwahiyo sikushangai ,every scientist na rich person na yeyote ambaye ana amini darkside atasupport whatevers you are trying to claim.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ujaelewa vizuri lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hili liweke katika uhalisia wa dunia yetu. Ili hili liwezekane inabidi tuzijue hizo ncha mbili dunia ziko wapi. Je nani anae jua nchs za dunia ziko wapi ?
Mi naweza kusema ncha ni imaginary point yeyote unayoweza kuweka at any circular position within a southpole na sio kuwa nani anajua ellites wote wanajua kwasababu ramani zipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
How can you launch thousands of satellites and can never be spotted in any of our directions even by telescopes.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…