The World is a flat plane and not a globe

Ni Naomba fungu linalo onesha Dunia ni flat duara katika kitabu cha mwanzo. Kuhusu mawasiliano na internet wilaya niliyopo tumevitumia kitambo kabla ya kuanza uchimbaji wa mkongo wa Taifa! Kuhusu jua kusimama ili watu wapigane hilo linatokana Uelewa wao kwa kipindi hicho! Hapakuwa na teknolojia kubwa kama sasa, mfano mzuri ni Dunia ya leo kabla Watu hatujafundishwa school tunaamini jua linatembea!
 
Mkuu hzo ni editing tu za wewe kuona dunia nzima.
Ila sio kweli.hakuna sattelite huko nje.

Kutokujibu kwangu minara mirefu haithibitishi kuwa kweli satelite zipo.kwa sababu hata minara yetu hii hapa ya tigo na voda hsifanyi kazi ?
Sidhan kama kuna drone inaweza fly high kiasi hicho vitu vingine muwe mnareason kabla ya kusema.

Halafu nimekuuliza kuhusu mnar mrefu hujajibu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unazungumziaje na zile sehemu ambazo ukiweka signal za madishi hupati kitu kabisa...?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua minara ya tigo na voda na tigo inavyofanya kazi?

Halafu nimkuuliza kuhusu mnara mrefu uliosema unaratibu mawasiliano dunia nzima, sio ya tigo na voda ambayo naifahamu.

Vipi kuhusu GPS nayo ni uzushi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukosea kwangu basi kuwe Kuna Usahihi kutoka kwako.
Kuhusu cable usiniamini mimi just Google it.. kati ya satellite na cable kipi kinatumika kwa kiwango kikubwa katika mawasiliano baina ya nchi na nchi au bara na bara.
Ningekupa uthibitisho ila kajiridhishe mwenyewe.

Kuhusu DSTV na AZAM namna Madish yanavyofanya kazi... Jiridhishe kwanza kweli ukijuacho ndicho hicho... je dish ni kwa ajili ya kunasa sattelite tuu.?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana zinaitwa satellite dish mkuu, zinachukua signal direct kutoka kwenye satellite.

Sat finder unaifahamu mkuu, kama unaijua huwa inatafuta minara au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habari za muda huu tena. Kuna mdau hapo juu ameongelea swala la Google earth(map) kama mfano wa kazi za satelite huko angani nadhan ni kutokana na uzoefu wake. Binafsi nimejaribu kuzoom out Google map hadi mwisho ili nijionee shape ya dunia yetu kwa kutumia hiyo satelite ila nimeshangazwa kuona Antarctica ndio boundary yetu na mabara yote yamekuwa displayed kama ramani ya flat earth waliyoelezea REALITY na wenzake. Naomba kuwasilisha

Sent from my Nokia 6.1 Plus using Tapatalk
 
Hakuna sehemu nilisema satellite inapiga picha dunia nzima mkuu, bali sehemu kubwa kama nchi au ahata bara zima

Nilikuwa najaribu kuwonesha hao wanaosema satellite hazipo, nikauliza hizo picha zinapigwa na nini wkaanza mnara mrefu, mara drone , wa mwisho parachute.

Nikauliza hiyo drone inayoweza piga picha hivyo ni aina gani, nijuavyo mimi highest attitude ya drone ni 11000 feet, kimya

Huo mnara mrefu uko wapi, una urefu gani angalau nifuatilie na mimi niujue kimya.

Mwingine katafiti anasema kamera zinawekwa kwenye maparachuti huyu ndo nilishindwa kumuelewa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Am still insisting the world is fixed no acceleration.
Accelerating heading where??
The world is still as you see it and feel it,no rocket science in pure reality.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaniuliza swali mimi? Huna habari?

Soma, fuatilia misimamo ya flat-earthers wenzako, si mimi niliyesema hivyo!

Hilo swali kawaulize wenzako kuwa walifikia wapi mpaka kuja na hiyo nadharia ambayo wewe unaipinga?

Na unaipinga kwa misingi gani tofauti na wenzako?

Swali jingine, wewe ni flat-earther wa namna gani?
 
What simple and logical perspectives???

Flat-earth and your claims are illogical and absurd. Period!

Unasema nitumie ubongo wangu kufikiri....Hahaha! wakati huohuo unaamini katika illusions pamoja na conspiracy theories with no evidence whatsoever to support those claims.
 
Hiyo trip yao ya Antarctica wameipiga chenga.

Mara ya mwisho walidai wataenda mwaka huu, baadaye wakabadili kauli.

Hawaeleweki!

Next time, wakitaka kwenda huko itawabidi waunde kwanza navigation systems za kipeke yao maana kama wata-rely katika mifumo iliyopo hususani GPS katika hiyo safari yao, itakuwa ni kituko cha karne.
 
Mkuu upo sahihi kabisa, swala langu ni hili, inakuaje ninapotumia Google map naona sehemu yote ya dunia ila katika muonekano wa flat na sio spherical kama tunavyoambiwa!? Kwanini Antarctica ndio boundary yetu!?

Sent from my Nokia 6.1 Plus using Tapatalk
 
Hiyo safari ya Flat Earthers walisema watachukua muda gani huko? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hawa Jamaa wana vituko πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…