The World is a flat plane and not a globe

Kwanini wafiche dunia sio tambarare ni tufe?Nini faida ya kuficha?Hasara ni zipi endapo binadamu watajua kwamba dunia ni tambarare?Mbona ni jambo zuri tu kuvumbua mambo kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo la kwamba ukifa game over nawewe umelipata wapi?Ushahidi wa hilo ni upi?Yupo aliyekufa akafufuka akaja kuhadithia aliyokutana nayo huko kuzimu?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nje ya kuta za antarctic or southpole kuna extre land na dome iliyoseal dunia yetu na inashikika kama kioo ,tupo ndani yake hakuna space wala galaxy ,tupo inside a dome,so watu wakishtukia hilo watatahamaki maana wameishi na kufia kwa uwongo mbele ya nafsi na macho yao wakiamini na kupotoshwa uhalisi wao kwa miaka mingi.

Sample demonstration ya dome ,angalia boat imegoma jamaa anajiona na anashika ,but hii ni real na serious i mean real serious.
Kwanini wafiche dunia sio tambarare ni tufe?Nini faida ya kuficha?Hasara ni zipi endapo binadamu watajua kwamba dunia ni tambarare?Mbona ni jambo zuri tu kuvumbua mambo kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ANTARCTIC TREATY
YOU ARE NOT ALLOWED TO CROSS THESE LEVELS WITHOUT PERMIT
Black circle in a flat azimuthal map shows what they mean by 60th degree

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…