Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,647
- 13,648
Hiyo ni kwa sababu y'all continue to deny all evidence. Na huku kwenda kufanya utafiti wenu ni really expensive hamna huo uwezo mnaishia kusema NASA NASA.Halafu bado unaiamini Sayansi ya anga. Hawana misimamo watu hao sababu msingi wa elimu yao ni dhana na majaribio, ona leo kama hiyo tasrifa ni ya kweli, ona wamekuja na na habari za kuwa Dunia ina umbo la box, baada ya miaka fulani watakuja kusema umbo la dunia ni kama la nyoka.
Hii tuu unaonesha Hamna ushahidi wowote.
.So where is the end point of this planet earth?mtoa mada take your time download google earth ufurahie dunia yako which is not a floating flat surface object
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii tuu unaonesha Hamna ushahidi wowote.
Wanaamini kuna siku wataivunja na mabomu yao ya nuclear wakutane na aliyeiweka. Wajue kuna nini hukoNisha andika humu mpaka nimechoka waambie hata hiyo glass ni nini maana hawawezi mpaka hao waliowalisha matango ndo wawaambie
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni kwa sababu y'all continue to deny all evidence. Na huku kwenda kufanya utafiti wenu ni really expensive hamna huo uwezo mnaishia kusema NASA NASA.
Mimi nadhani theory yao ina udini ndani yake kuwa dunia ni round yaani spherical.
Sababu ni hii:
Kuna kitabu kinaitwa bible au mjumuisho wa vitabu vya kidini ambavyo watu wa zamani waliokuwa illuminated au inspired na muumbaji wa binadamu a.k.a Mungu.
Kitabu hiki kimeelezea mengi kuhusu binadamu, uumbaji na miisho yetu.
Then kuna story kutoka humo kwenye bible kuhusu shetani a.k.a Lucifer au ibilisi.
Then Kuna story kuhusu suluhisho la dhambi au uovu wa binadamu na hatima yake, hayo yote yamedadavuliwa kwenye hicho kitabu bible.
Zipo jitihada za kukipinga kweli zilizomo kwenye kitabu hicho, ambacho kuna wakati katila historia kilitafutwa ili kiangamizwe kabisa ikashindikana.
Kwenye bible imeandikwa, kuwa wakati wa mwisho wakati Yesu anakuja, kila jicho litamuona, hili ni tumaini kwa wanadamu wote, kwa nadharia hiyo ya kila jicho litamuona, haiwezekani kwa spherical earth, bali kwa flat earth.
Kwenye bible, kitabu cha Daniel, Nebukadneza aliota ndoto kuwa Kuna mti mkubwa sana umeota ambao unaonekana kutoka kila kona ya dunia, kwa spherical earth haiwezekani mti kuonekana dunia nzima, bali kwa flat earth.
Hivyo basi biblia yote inaamini katika flat earth.
Hivyo basi elimu hii ya kuwa dunia ni sphere ni kupandikiza kwenye mind za watu mtazamo tofauti wa biblia, na ndo maana watu leo hii wanaambiwa na waliambiwa huko mashuleni binadamu alikuwa nyani, huko huko shule wanasema binadamu alichipuka ( evolution) na hakuumbwa na pia ulimwengu haukuumbwa bali uliibuka tu, kanisa katoliki a.k.a Vatican ndo ilianzisha ule mradi wa CERN yaani electron collider ili waweze kupata theory ya uparikanaji wa ulimwengu, hao hao VATICAN ndo wanamiliki telescope kubwa lanisa duniani tena inaitwa Lucifer jina la shetani mwenyewe.
Kwa kufupisha, elimu hii ya Unajimu ni ya Lucifer ikisaidiwa na NASA ya USA. Na lengo lake ku divert mind za watu toka kwa Muumbaji kupeleka kwake yeye aliye kinyume na Muumbaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Patamu hapa, naomba kukuuliza kabla sijaendelea, wewe unaamini lipi?Mimi nadhani theory yao ina udini ndani yake kuwa dunia ni round yaani spherical.
Sababu ni hii:
Kuna kitabu kinaitwa bible au mjumuisho wa vitabu vya kidini ambavyo watu wa zamani waliokuwa illuminated au inspired na muumbaji wa binadamu a.k.a Mungu.
Kitabu hiki kimeelezea mengi kuhusu binadamu, uumbaji na miisho yetu.
Then kuna story kutoka humo kwenye bible kuhusu shetani a.k.a Lucifer au ibilisi.
Then Kuna story kuhusu suluhisho la dhambi au uovu wa binadamu na hatima yake, hayo yote yamedadavuliwa kwenye hicho kitabu bible.
Zipo jitihada za kukipinga kweli zilizomo kwenye kitabu hicho, ambacho kuna wakati katila historia kilitafutwa ili kiangamizwe kabisa ikashindikana.
Kwenye bible imeandikwa, kuwa wakati wa mwisho wakati Yesu anakuja, kila jicho litamuona, hili ni tumaini kwa wanadamu wote, kwa nadharia hiyo ya kila jicho litamuona, haiwezekani kwa spherical earth, bali kwa flat earth.
Kwenye bible, kitabu cha Daniel, Nebukadneza aliota ndoto kuwa Kuna mti mkubwa sana umeota ambao unaonekana kutoka kila kona ya dunia, kwa spherical earth haiwezekani mti kuonekana dunia nzima, bali kwa flat earth.
Hivyo basi biblia yote inaamini katika flat earth.
Hivyo basi elimu hii ya kuwa dunia ni sphere ni kupandikiza kwenye mind za watu mtazamo tofauti wa biblia, na ndo maana watu leo hii wanaambiwa na waliambiwa huko mashuleni binadamu alikuwa nyani, huko huko shule wanasema binadamu alichipuka ( evolution) na hakuumbwa na pia ulimwengu haukuumbwa bali uliibuka tu, kanisa katoliki a.k.a Vatican ndo ilianzisha ule mradi wa CERN yaani electron collider ili waweze kupata theory ya uparikanaji wa ulimwengu, hao hao VATICAN ndo wanamiliki telescope kubwa lanisa duniani tena inaitwa Lucifer jina la shetani mwenyewe.
Kwa kufupisha, elimu hii ya Unajimu ni ya Lucifer ikisaidiwa na NASA ya USA. Na lengo lake ku divert mind za watu toka kwa Muumbaji kupeleka kwake yeye aliye kinyume na Muumbaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ndo naamini watu wanavyosema yule ni proffesor uchwara,kumbe ndo haya sasa.kushinda na mavitabu ya nadharia halafu kusumbua watu na upuuzi.I wish dunia ingeruhusu FREE THINKERS. Hakuna kitu cha hovyo maishani kama kujivunia knowledge ya kukariri.
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
It's entirely possible that I'm being an absolute Idiot but would you mind showing me the exactly evidence Mr?. Au nani alijaribu kwenda akakutana na kikwazo cha NASA?Inategemea na upeo ni kama kumwonesha mtoto wa darasa la pili hesabu za calculus so sikushangaii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo mnatumia CGI pictures kama supporting Docs kwenye michango yenu
Kuwa mpole, Dunia ni yetu sote_ sasa NASA wanawazuiaje kwenda? Huu ushahidi haujautoa bado.Expensive kwani dunia ni ya nani ,huku ndo kuwa na akili za kitumwa,expensive according to who?
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 Yaani kipenyo (diameter) ni propaganda? teh teh 🤣 🤣🤣 hii kaliHicho kipenyo ni moja ya propaganda ulizolishwa shuleni
It's entirely possible that I'm being an absolute Idiot but would you mind showing me the exactly evidence Mr?. Au nani alijaribu kwenda akakutana na kikwazo cha NASA?
Watch "Flat Earth vs. Round Earth | Explorer" on YouTubeNi mara mangapi kesi za flatearth zimetupiliwa mbali,kwanini ramani za flat earth zifichwe ,kwanini internet data kuhusu flat earth zinaanza kupotea kwenye database,kwanini watu wanalalamika youtube wanazifuta video,kwanini NASA hawatoi report public kwenye mtandao watu wafanye research kwani public wana interest ya kuwa astronauts si wanapewa hizo evidence waprove ,kwanini video za mwezini hawana,kwanini wazifute?kwanini ukiwauliza maswali wanasema classified au confidential ,kwanini waanze kwenda mwezini kwenye 60s,baada ya NASA,Baada ya operation high jump,huku wakijua mwezi is just a glowing circle and sometimes transparent, unjua ni lini dunia Imeanza kuwa mpira,na ni nani alifanya iwe ..
Internet imejaa picha za cgi ,photoshopped ,edited videos,hoax moon landings ,na streaming live ya space wakati wanajirecord ndani ya base yao ,View attachment 1337411View attachment 1337412View attachment 1337413View attachment 1337414
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa mpole, Dunia ni yetu sote_ sasa NASA wanawazuiaje kwenda? Huu ushahidi haujautoa bado.
Do you have the resources to conduct your own circumnavigation?. If yes, why doesn't someone just fly around the world and record it?. Ni ghali mtatumia gharama na mtaishia kugundua ni 'tufe' kilichobaki ni kueneza conspiracy theories.
Hahaha mkuu kuna eneo kubwa nje ya dunia yetu thats why imewekwa sheria ya Antarctica treaty iliyo sainiwa na nchi kumi na mbili ikiwemo south africa kupinga mtu yeyote asiende bara hilo kwakuwa wanadamu watajua dunia sio tufe bali ni tambarare
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishaona mkuu kuna ambazo watu walienda mpaka northpole zimefutwa hiyo ya mwaka juzi sijuiWatch "Flat Earth vs. Round Earth | Explorer" on YouTube
Sababu kaitoa mmoja wa wanasayansi amesema hakuna hatari yoyote ila hatari itakuwepo endapo watu watawashawishi wanasiasa kuacha kurely on science na kukimbilia believes, imagine politicians stops funding science sababu wapiga kura hawaamiini tafiti zao.
Fuatilia kwa karibu maswali ya mwandishi, you will notice something.Nilishaona mkuu kuna ambazo watu walienda mpaka northpole zimefutwa hiyo ya mwaka juzi sijui
Sent using Jamii Forums mobile app