The World is a flat plane and not a globe

Tayari unasema gravity haipo hata ukieleweshwa huwezi kubali.

Tafuta live feed kutoka ISS (International Space Station) au nayo haipo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Live feed inafanyika kwenye altitude ballon na ni video editings plus CGI na hizo picha zinazo stream live kuonesha dunia ni camera zenye lens ya FISH EYE yani unaona dunia ni curve na sio horizon.fanya utafiti taratibu na tumia ubongo wako sio wa mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wewe ni pseudo scientist, nipe ushahidi kwamba hiyo ni baloon na editing sio unasema tu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa kasema ukifunga dish la azam canada utashika channel,kwa kifupi huwezi hata utumie hiyo sat finder yako inshort hakuna satellites na mnara wa azam tv unao transmit signal huko.
Mkuu Dstv iko sehemu nyingi africa utasema na huko wanaroam kwa app. Unapinga pasipo kuwa na hoja imara wala ushahidi zaidi ya maneno tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Satellite ni jina la kukupumbaza tu mkuu ila hawamaanishi wanachokionesha maana hakipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezi ni taa mkuu hakuna mtu amewahi fika pale ,tafuta camera ya nikon p1000 zoom mwezi uangalie halafu angalia na picha za nasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…