Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Kwahiyo Slaa ni mtume au nabii kwako au siyo? kuna nabii aliishi kwa kudanganya wewe acha kuwa zobe?
Mambo aliyodanganya Dr. Slaa
1. Kwenye Rada kulikuwa na Rushwa
2. Kuna wizi wa EPA ulifanyika
3. Kuna wizi wa ndege ya Rais
4. Kuna Rushwa wenye umeme wa Richmond Dowans
6. Kuna Wizi kwenye Kagoda
7. Kuna Wizi kwenye Meremeta
8. Ugumu wa maisha unatisha Tanzania
9. Uchaguzi ulichakachuliwa
10. Uuzaji nyumba za Serikali uligubikwa na Rushwa
.
.
.
.
.
DO YOU THINK ALL THOSE ALLEGATIONS ARE CRAPS?