The Window Through Which We Look

Fixed Point

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2009
Posts
11,304
Reaction score
12,753
A young couple moves into a new neighborhood.
The next morning while they are eating breakfast,
the young woman sees her neighbor hanging the wash outside.
"That laundry is not very clean", she said.
"She doesn't know how to wash correctly.
Perhaps she needs better laundry soap."

Her husband looked on, but remained silent.
Every time her neighbor would hang her wash to dry,
the young woman would make the same comments.

About one month later, the woman was surprised to see a
nice clean wash on the line and said to her husband:

"Look, she has learned how to wash correctly.
I wonder who taught her this."

The husband said, "I got up early this morning and
cleaned our windows."


And so it is with life. What we see when watching others depends on the purity of the window through which we look.
Easy to discuss other people, their lives & things that really doesn't even concern us & we tend to forget our windows isn't that clean after all!!

I hope that you have a very blessed day!
 
Kwi kwi kwi kwi kwi lol!

Mume: Huu wali umeungua
Mke: Haujaungua umeshika kwa chini kidogo
Mume: Hata juzi uliungua ukasema hivyo kwamba umeshika kidogo kwa chini
Mke: Juzi pia haukungua, basi tumuite jirani atusaidie kuamua kama umeungua au la
Mume: Wewe kama unataka kumuita jirani hiyo ni juu yako mie sikulisema hilo la kumuita jirani

Chezeya ndoa weye!!!! Ndoa iliyokuwa tamu iliingia doa kubwa sana kisa sufuria ya kusongea ugali hadi ikavunjika....usipoziba ufa

Have a lovely and enjoyable weekend rafiki 🙂🙂



ndo hivyo rafiki.....
na sisi tumezoea sana, huyu sijui yukoje? wakati kumbe wewe ndo sijui ukoje, lol!
 
Last edited by a moderator:
Wakati namsubiri mkalimani wangu wa ubani wangu Asprini ngoja niseme kidogo hapa
"........ What we see when watching others depends on the purity of the window through which we look......."

Lakini pia yapo mengine tunayaona kwa wengine na yakatufunza mambo mengi mazuri sana;
Bosi wangu hapa anapenda sana kununua ardhi ..........nilikuwa naona anavyojitahidi kununua maeneo;
I used to wath him through that window...... nikaamua nifanye kama yeye; huwezi amini naona nimefanya hata kumzidi;

Hata hapa hapa jf ukiamua ..watch others ......kuna vitu vizuri sana ........
 
Last edited by a moderator:
ha haaa, hawa nao walikuwa wamechokana tu.......
ni kuunguza tu au walikuwa na mengine?
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Mtani Fixed Point...utajuaje sasa kuwa kioo kimetindikiwa na uchafu?
mtani wangu hapa ni swala la kujiangalia mara kwa mara na kujifanyia usafi.
Ngoja nikuambie kitu, hii ni kweli kabisa kwangu. huwa nikichukizwa na mtu huwa mara nyingi sana nakaa kujifikiria kwa nini imetokea. nawaza scenario nzima na najitahidi kujiweka upande wa huyo mtu na kupata picha ingekuwaje mtu anifanyie nilichomfanyia mimi...... nikijiridhisha amenikosea na-relax, otherwise naenda kuomba msamaha
 
you are right, tunajifunza mengi sana kutoka kwa wenzetu, sana tu. mimi naweza kusema asilimia kubwa sana ya tunayoyafanya tunajifunza kwa wenzetu. tuendelee kufanya hivyo.
na believe me, tunaweza kuona mengi mazuri ya watu kama tunawaangalia through clean window. tukiangalia kupitia kioo kichafu basi hata mazuri wanayoyafanya tutayaona mabaya. hujawahi kukaa na mtu ambaye kila mara anaongelea negative things za wenzie? yaani hata mwenzie akinunua kiwanja utasikia "kiwanje chenyewe kanunua Goba", sasa unajiuliza, what is wrong kununua kiwanja goba? kwani huko goba watu hawakai?
 
Wakatisha tamaa wapo wengi tu,
Japo wakikaa kando nao roho zinawauma.

Huwa nawatamani sana akina mama ambao wana
maendeleo kutokana na jasho lao;

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…