The Volkswagen Aqua " just Amizing!"

The Volkswagen Aqua " just Amizing!"

Huyo bora alivyopigwa stop, ulisikia hoteli ipi Tanzania inabadilisha mafuta yaliyokwisha tumika? Bado hatujafika huko.
Hoteli kubwa zote zinatupa mafuta yaliotumika kama movenpick,Kempeski e.t.c. najuwa wewe hutaliunga mkono kwakuwa itaingilia biashara ya waarabu majirani zako K'koo kina Nahdi na Bahashwani hahaha!
 
ni wakati sasa wakuanzishwa shule zenye mlengo wa kuendeleza vipaji vya watoto, hapa serikali haiwezi toa ufumbuzi labda karne ijayo.
 
ni wakati sasa wakuanzishwa shule zenye mlengo wa kuendeleza vipaji vya watoto, hapa serikali haiwezi toa ufumbuzi labda karne ijayo.

hehehehe kama THT ...
 


The 21-year-old mechanical design graduate, from China Designer Yuhan Zhang created the Volkswagen Aqua, Yuhan Zhang said: ‘There is no better form of transport than an air cushion vehicle because it travels equally well over land, ice, and water.

jamani dogo ana miaka 21 tu!!!!! amefanya mambo makubwa kama haya






ATT00008..jpg



ATT00007..jpg





ATT00001..jpg




The Aqua offers an insight of futuristic vehicle powered by hydrogen and propelled by impeller.



ATT00002..jpg



ATT00003..jpg



ATT00004..jpg




ATT00005..jpg




ATT00006..jpg



read more Inventor creates 'Volkswagen Aqua' car that can cross water | Metro.co.uk

Real amising!
 
Muda wa udaku JF unao? Kama huna muda Tanzania basi hutopata muda kwingine kokote, unafikiri huko nje ya Tanzania mikate inawadondokea na hawaendi kuitafuta? Unanchekesha!
faizfoxy dada yangu kumbuka tz inasifika kama nchi ya amani lakini unajua hiyo amani inayomaanishwa hapo? kwa kifupi watanzania wamejengewa nidhamu ya uoga.ila ipo siku hiyo amani wataikataa na kudai haki.
 
hapa Tz wapo watu wanabuni vitu, tatizo ni urasimu na "umimi", thats why hatuendelei
 
Back
Top Bottom