Turudi pale Rau Madukani
JF-Expert Member
- Jan 16, 2016
- 2,151
- 4,717
Hata mi nimeshangaa sana.Sayari ya Jupiter ndiyo kubwa kabisa katika galaxy yetu?
Hii habari umeipata wapi?
Hata mi nimeshangaa sana.Sayari ya Jupiter ndiyo kubwa kabisa katika galaxy yetu?
Hii habari umeipata wapi?
Jsmaa alivyoandika mpangilio wake tu ni shida.Siku nyingine unavyoandika mambo mazito kama haya, epuka kutulisha maneno eti mimi na wewe hatujui umri wa jua.
Watu wanajua umri wa jua na muda uliobaki ili lifike kikomo. Halafu NASA wa wapi waliosema jua linapita west to east!
Dogo andiko lako lina makosa kibao, huwezi kutuambia eti Jupiter ni kubwa kuliko sayari zote katika galaxy hii ya milkway, are you serious kijana!
On that note, even your existence is a theory.Evolution isnt a fact brother, it's a theory
Kasimuliwa huyu, haelewi chochote.Sayari ya Jupiter ndiyo kubwa kabisa katika galaxy yetu?
Hii habari umeipata wapi?
mleta maada ni amateur ndo anajifunza haelewi chochote.Siku nyingine unavyoandika mambo mazito kama haya, epuka kutulisha maneno eti mimi na wewe hatujui umri wa jua.
Watu wanajua umri wa jua na muda uliobaki ili lifike kikomo. Halafu NASA wa wapi waliosema jua linapita west to east!
Dogo andiko lako lina makosa kibao, huwezi kutuambia eti Jupiter ni kubwa kuliko sayari zote katika galaxy hii ya milkway, are you serious kijana!
Una maana gani?On that note, even your existence is a theory.
Inaonekana haelewi tofauti ya our galaxy na our solar system. Ni kama alitaka kuandika our solar system, akaandika our galaxy.Kasimuliwa huyu, haelewi chochote.
"Theory" katika muktadha wa sayansi ni tofauti na "just a theory" katika muktadha wa Kiingereza.Una maana gani?
Na amesema mwaka 2011 alikuwa form 1, ina maana miezi micha ijayo anaenda chuo. Akiwa mwalimu tu basi ndio kashatuulia wanetu kwa kuwaambia jupiter ni kubwa kuliko sayari zote katika milkway.mleta maada ni amateur ndo anajifunza haelewi chochote.
Na kama theory ya evolution ni ya kweli, basi na sisi binadamu wa sasa tunaendelea ku
Fact!!! and this is so called maturity.Japo nimesoma bandiko lako juuu kwa juu...
Kuhusu evolution of man ni concept pana kubwa na hapo ulipomtumia Charles Darwin sio kwamba alispecify moja kwa moja kuwa sisi tumetoka kwenye jamii ya sokwe ...noo yeye alijikita kwenye point kuwa yawezekana human na sokwe wanashare common ancestor ...
Ndo maana kuna baadhi ya facts tunazoshare na hao viumbe mfano mambo ya rhesus factor mostly ni same ....
Japo nimesoma bandiko lako juuu kwa juu...
Kuhusu evolution of man ni concept pana kubwa na hapo ulipomtumia Charles Darwin sio kwamba alispecify moja kwa moja kuwa sisi tumetoka kwenye jamii ya sokwe ...noo yeye alijikita kwenye point kuwa yawezekana human na sokwe wanashare common ancestor ...
Ndo maana kuna baadhi ya facts tunazoshare na hao viumbe mfano mambo ya rhesus factor mostly ni same ....
Creationalists wengi huwa wanachanganya sana mambo hapa. Linapokuja swala la evolution huwa wanaelewa kuwa binadamu ametokana na sokwe which is very unprofessional and incorrect. Hawajuagi kabisa habari ya common ancestor(Kiumbe chanzo). mfano paka,chui,duma na simba hawa wanaweza kuwa na common ancestor au fisi,mbwa,mbwa mwitu na bears wanaweza kuwa na common ancestor pia kama sisi binadamu na jamii zote za manyani. Na hii ni kutokana na mfanano fulani wa ki gene na morphology.Japo nimesoma bandiko lako juuu kwa juu...
Kuhusu evolution of man ni concept pana kubwa na hapo ulipomtumia Charles Darwin sio kwamba alispecify moja kwa moja kuwa sisi tumetoka kwenye jamii ya sokwe ...noo yeye alijikita kwenye point kuwa yawezekana human na sokwe wanashare common ancestor ...
Ndo maana kuna baadhi ya facts tunazoshare na hao viumbe mfano mambo ya rhesus factor mostly ni same ....
Mkuu hilo halina ubishi kwa yeyote mwenye hizi concept za DNA ni kweli binadamu na hao apes especially chimpanzees na bonobo zina ufanano wa hali ya juu ...sina shaka na hizo asilimia ulizotaja na hii inaonesha sisi na hao viumbe tunashare common ancestor japo wengi huwa hawaamini ila ukipitia maandishi na tafiti nyingi kama hizo mbili upande wa DNA na blood rhesus factor huwezi kupinga ...Point muhimu sana ambayo watu wanaosoma evolution juu juu hawaioni.
Juzi juzi hapa nilikuwa nasoma makala moja imeelezea hivyo hivyo.
DNA evidence inaonesha tuna share 99% ya DNA makeup yetu na chimpanzee.
mkuu ulipo kula lunch kwanza bili kwa wabishiCreationalists wengi huwa wanachanganya sana mambo hapa. Linapokuja swala la evolution huwa wanaelewa kuwa binadamu ametokana na sokwe which is very unprofessional and incorrect. Hawajuagi kabisa habari ya common ancestor(Kiumbe chanzo). mfano paka,chui,duma na simba hawa wanaweza kuwa na common ancestor au fisi,mbwa,mbwa mwitu na bears wanaweza kuwa na common ancestor pia kama sisi binadamu na jamii zote za manyani. Na hii ni kutokana na mfanano fulani wa ki gene na morphology.
Mkuu nakubalina na wewe uwepo wa intelligent designer lakin swali linakuja yeye alitokea wapi je kama intelligent designer alikuwepo tu kwanin sisi less intelligent tusiwe tulitokea tu kama yeye kwanini rule itumike kwa upande mmoja na isifae kwa upende wetu.Unapoona tv, redio, gari, ndege, meli, pikipiki nk, huna haja ya kuuliza chanzo chake. Unajua automatically kwamba zimetengezwa (na binadamu) tena kwa ustadi na mpangilio Mkubwa.
Vivyo hivyo, unavyoona dunia, mwezi, nyota na sayari nyingine, viumbe wa aina aina, wenye rangi na wanaovutia, wakubwa kwa wadogo, vilivyo katika mpangilio na ustadi mkubwa, kisha ukashindwa kujua ama ukagoma tu kwamba hakuna aliyevipangilia, duh inahitaji imani sana kuamini unachoamini.
Unapoona kuna mpangilio sehemu, intelligence ndio chanzo cha huo mpangilio, sio chance. Chance has never been a source of fine tuning. Kuthibitisha hilo, chukua vyuma vyuma kisha UNGANISHA BY CHANCE upate meli au ndege au gari. Hata ufanye mara trillion trillion, bila intelligence, hutapata meli wala ndege wala gari.
Uhai haijatokea by chance. Uhai uliumbwa na a very intelligent designer, (sio lazima umuite Mungu), lakini uwepo wa maisha na mpangilio duniani unathibitisha bila shaka yoyote uwepo wa huyo designer
Nawasilisha