The truth for youths about Forex business

The truth for youths about Forex business

10 year nipo kwenye forex total profit usd 97890.lose 35000
tatizo la watu wanajua ni betting hakuna displini tena pear kama XAUUSD kukuacha maskini ni kugusa
Dah umegusa penyewe hiyo pair staki hata kuisikia nilikuza akaunti toka dollar 100 ikafika dollar 400 ndani ya mwezi...

Lengo langu ilikua ndani ya miezi 6 niwe na dollar 5000+... Aisee nikajichanganya na hiyo pair, bahati mbaya sana mi hua na-hold so naweza weka trade nikarudi kuichungulia baada ya siku tatu au zaidi na hua siweki SL wala TP...

Aisee siku naingia nakuta akaunti n nyeupee pee! Haina hata dollar 1..
Nilichoka nimejifunza kua ukitaka kufanya poa kwenye fx trade kile unachokijua..
 
Back
Top Bottom