Bibi Ntilie
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 245
- 8
Mchungaji,
Salut!
Tanzania yetu ni zaidi ya inavyoonekana. Namuunga mkono Mkandara - gone are the days when there was true patriotism. Hivi sasa viongozi na walio kwenye nafasi nzuri nchini wanadai "pangu pakavu tia mchuzi zaidi." Maskini wa Tanzania anawaza kesho atakula nini na mwanawe ama mjukuu kama anaye! Naam, Mpendazoe amejaribu kuonyesha kwa vitendo alivyochoshwa na mambo haya na anavyojali maslahi ya wananchi maskini kuliko hadhi, hivi sasa watu wanamhukumu, wanamkwepa na kumkejeli badala ya kumpongeza. Hii ndio Tanzania ya leo.
Salut!
Tanzania yetu ni zaidi ya inavyoonekana. Namuunga mkono Mkandara - gone are the days when there was true patriotism. Hivi sasa viongozi na walio kwenye nafasi nzuri nchini wanadai "pangu pakavu tia mchuzi zaidi." Maskini wa Tanzania anawaza kesho atakula nini na mwanawe ama mjukuu kama anaye! Naam, Mpendazoe amejaribu kuonyesha kwa vitendo alivyochoshwa na mambo haya na anavyojali maslahi ya wananchi maskini kuliko hadhi, hivi sasa watu wanamhukumu, wanamkwepa na kumkejeli badala ya kumpongeza. Hii ndio Tanzania ya leo.