MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Je unajua machukizo makuu matatu('the three most hated entities in Tanzania) kwa watanzania haswa kwa kipindi cha miaka ya hivi karibuni kutokana na kuwa kikwazo kikubwa kwa watanzania kujipatia maendeleo yao ya kiuchumi, kijamii na kisiasa? Vitu hivi vitatu vifuatavyo ndivyo vinavyoongoza kwa kuchukiwaau machukizo makubwa kwa asilimia kubwa:
1. CCM na Serikali Yake
2. Shirika la umeme (Tanesco)
3. Jeshi la Polisi
Ukitaka proof nisemayo pita mitaani tu usikilize malalamiko ya watu kuhusu chanzo cha matatizo wanayoyapata.
1. CCM na Serikali Yake
2. Shirika la umeme (Tanesco)
3. Jeshi la Polisi
Ukitaka proof nisemayo pita mitaani tu usikilize malalamiko ya watu kuhusu chanzo cha matatizo wanayoyapata.