The sweetness of swahili

The sweetness of swahili

Asubuhinjema

Member
Joined
Sep 17, 2009
Posts
5
Reaction score
0
Sikutambua utamu wa lugha yangu na kiasi inavyoweza kutuunganisha mpaka nilivyokuja kufanya kazi ughaibuni!

Naona wa east africa wakenya, warundi, na waganda wanavyojaribu kutumia kiswahili kama kiunganishi katika jamii yetu ya wageni mbali na nyumbani!

Long live the great mwalimu, whose greatness in terms of thinking knew language breaks barriers of all kinds!
 
Back
Top Bottom