JamiiForum fursa hiyo upewe nini sasa
ushauri mtunz nadhani ni nzur zaid ukianza new episode andika iv
Mfano:
THE SECOND DOOR -4
badala ya kuanza maelezo afu neno episode - 4 unalikuta ndan ndan ni ushsur tu other wise hadith ni tam sana
MAPITIO YA TAMTHILIA; Kaeni mkao wa kula kwa ajili ya Episode No 6.
Kikosi cha Rweyemamu kinafanikiwa kujua mahali alipo Brenda na kujua kuwa Brenda hakuwa amepoteza maisha, sasa kinajipanga na kwenda kuvamia mahali alipokuwa mrembo huyo, What is next? watch Out for Episode No 6 jioni ya leo.
Jana after church nilikua invited na msomaji wangu mmoja anaishi tabata, niliinjoy sana kukuta familia nzima inafatilia Tamthilia hii, Lakini kikubwa zaidi the way walivyokuwa wakiizungumzia story hii ilinionesha jinsi wasomaji wangu wanavyo vutiwa na mtiririko wa matukio. Mwenyeji wangu hakutaka kunitajia ID yake ya hapa Jamvini hivyo nitashindwa kumtaja lakini Big up sana kwake.
Mwisho, naomba niwathibitishie kuwa Hii stori ndio kwanza inaanza, bado kabisa muda wa kusema theme ya hii story baadhi wanasema kuwa ni story ya Action na mapenzi kidogo, Trust me idea ya simulizi hii ni Action kidogo sana na Mapenzi mazito, utathibitisha hilo kadri tutakavyoendelea mbele na story hii. Ok nawatakia asubuhi njema na mafanikio kwenye shughuli zenu za kutwa nzima.
NAWAPENDA SANA.
mapitio ya tamthilia; kaeni mkao wa kula kwa ajili ya episode no 6.
kikosi cha rweyemamu kinafanikiwa kujua mahali alipo brenda na kujua kuwa brenda hakuwa amepoteza maisha, sasa kinajipanga na kwenda kuvamia mahali alipokuwa mrembo huyo, what is next? Watch out for episode no 6 jioni ya leo.
Jana after church nilikua invited na msomaji wangu mmoja anaishi tabata, niliinjoy sana kukuta familia nzima inafatilia tamthilia hii, lakini kikubwa zaidi the way walivyokuwa wakiizungumzia story hii ilinionesha jinsi wasomaji wangu wanavyo vutiwa na mtiririko wa matukio. Mwenyeji wangu hakutaka kunitajia id yake ya hapa jamvini hivyo nitashindwa kumtaja lakini big up sana kwake.
Mwisho, naomba niwathibitishie kuwa hii stori ndio kwanza inaanza, bado kabisa muda wa kusema theme ya hii story baadhi wanasema kuwa ni story ya action na mapenzi kidogo, trust me idea ya simulizi hii ni action kidogo sana na mapenzi mazito, utathibitisha hilo kadri tutakavyoendelea mbele na story hii. Ok nawatakia asubuhi njema na mafanikio kwenye shughuli zenu za kutwa nzima.
Nawapenda sana.
i like it am your follower , ila mi napenda upate chochote kwenye haya maandishi yako andaa kitabu utuuzie tutanunua kwa fujo, fulsa zenyewe ndo hizi,
talents pays more than proffessional bwanaaaaaaaa
MAPITIO YA TAMTHILIA; Kaeni mkao wa kula kwa ajili ya Episode No 6.
Kikosi cha Rweyemamu kinafanikiwa kujua mahali alipo Brenda na kujua kuwa Brenda hakuwa amepoteza maisha, sasa kinajipanga na kwenda kuvamia mahali alipokuwa mrembo huyo, What is next? watch Out for Episode No 6 jioni ya leo.
Jana after church nilikua invited na msomaji wangu mmoja anaishi tabata, niliinjoy sana kukuta familia nzima inafatilia Tamthilia hii, Lakini kikubwa zaidi the way walivyokuwa wakiizungumzia story hii ilinionesha jinsi wasomaji wangu wanavyo vutiwa na mtiririko wa matukio. Mwenyeji wangu hakutaka kunitajia ID yake ya hapa Jamvini hivyo nitashindwa kumtaja lakini Big up sana kwake.
Mwisho, naomba niwathibitishie kuwa Hii stori ndio kwanza inaanza, bado kabisa muda wa kusema theme ya hii story baadhi wanasema kuwa ni story ya Action na mapenzi kidogo, Trust me idea ya simulizi hii ni Action kidogo sana na Mapenzi mazito, utathibitisha hilo kadri tutakavyoendelea mbele na story hii. Ok nawatakia asubuhi njema na mafanikio kwenye shughuli zenu za kutwa nzima.
NAWAPENDA SANA.
........mtunzi, kuna suala la kuchanganya majina na kama si mfuatiliaji mzuri wa tamthilia hii anaweza jikanganya. Utunzi mzuri na unaovutia, kila muda naangalia kifuatacho ni nini
da nimesikiliza you have a nice voice ina mvuto wa kuisikiliza kama ilivyo story yenyewe ,
lakini kwanini usiwauzie hata bongo movi these ideas nilimsikia JB wa bongo movi anasema bongo movi hawana waandishi wa stories sasa nadhan wewe ni suluhisho jaribu kumtafuta akupe dili.