The Scoan Live Sunday Prayer Line

The Scoan Live Sunday Prayer Line

Joined
Sep 7, 2013
Posts
68
Reaction score
8
Wapendwa katika bwana. Tuangalieni Emmanuel Tv...TB Joshua man of God...miujiza mikubwa inafanyika. Distance is not a barrier. .hakika nawe pia utaguswa jumapili hii takatifu ya leo. Mungu atubariki sana. AMINA.
 
Wapendwa katika bwana. Tuangalieni Emmanuel Tv...TB Joshua man of God...miujiza mikubwa inafanyika. Distance is not a barrier. .hakika nawe pia utaguswa jumapili hii takatifu ya leo. Mungu atubariki sana. AMINA.
Badili na jina lako DEMU WA KONA BAR wapi na wapi na SCOAN ....
 
Kwan madem wote wa kona bar ni malaya?..Wanamme wengine bana kwa kukariri.. Nyoshi aliwahi kuwaimbia...sio kila mwanamke anayeenda bar anajiuza...ni malaya au hana pesa....wengine kama mimi ni wacha Mungu na tunajiheshimu. Mungu akupe uelewa.
 
Mwambie. Sio kila kitu ni kujibu tu utumbo. Sometimes mambo yako yanaweza kua hayasongi kwasababu ya kuropokaropoka tu vitu ambavyo huna uhakika navyo..akawa unadhan umelogwa kumbe ni wewe tu kujitafutia mikosi na laana sisizokua na lazima
 
Kwan madem wote wa
kona bar ni malaya?..Wanamme wengine bana kwa kukariri.. Nyoshi aliwahi
kuwaimbia...sio kila mwanamke anayeenda bar anajiuza...ni malaya au hana
pesa....wengine kama mimi ni wacha Mungu na tunajiheshimu. Mungu akupe
uelewa.

just simple: badili jina lako as hali sound vizuri mydia. Acha ubishi bana, umeleta ujumbe mzuri but jina lako tata.

Ndio maana watu badala ya kujadili ujumbe wako wanajadili jina lako.
 
Amen ndugu yangu, naomba sn msaada wako, je nitapataje maji ya baraka toka kwa Man of God TB Joshua? mm nipo nje ya TZ nisaidieni jamani
 
Upo nchi gani?..kwa Tanzania yanapatikana Posta. Mkapa house..ground floor..karibu na duka la Mariedo. Utaona picha ya TB Joshua mlangoni. Kuna coordinator anaitwa Martha.
 
Back
Top Bottom