The Satanic Verses - The Book

Nadhani katika kizazi hiki is one of the genius elite!
 
Hivi ile sheria ya kumuua mwandishi wa kitabu cha aya za shetani na yeyote atakayeonekana nacho bado ina mantiki? Maana kwa sasa kipo mitandaoni. Na je ni haki kumuua msomaji anaetaka kujua ndani kuna nini??!
 
Hivi ile sheria ya kumuua mwandishi wa kitabu cha aya za shetani na yeyote atakayeonekana nacho bado ina mantiki? Maana kwa sasa kipo mitandaoni. Na je ni haki kumuua msomaji anaetaka kujua ndani kuna nini??!
Wewe umeanzisha Uzi huu ukiwa Nchi ipi ambayo imepitisha Sheria hiyo?
 
N goja nikuachie size yako , kumbe naongea na takataka....... "genious" ndiyo kitu gani. Kwaheri.
umehamia kwenye spelling..hoja umeishiwa..inaelekea elimu yako ndogo ndomana bado unakazania spelling..
 
Ameandika kiingereza kigumu sana. You need to be well enough conversant with English to make sense out of it!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…