Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,277
- 17,983
Hawana lolote. Wakaifanyie Zanzibar sio kwenye hanga lao Dar?Utaulizwa unaijua Corrective Maintenance ?
Lakini napenda waendelee hivyo ili wasije wakalazimisha safari na kuua abiria.
Hawana lolote. Wakaifanyie Zanzibar sio kwenye hanga lao Dar?Utaulizwa unaijua Corrective Maintenance ?
Fitina haikufanyi uwe bora air Tanzania inapaa kwa viwango vya juu kwa sasa ni gumzo duniani soon tunaenda London straight wee kaa ukisema mabaya Tu.Ni swala la fedheha inapokuja kwenye swala la uendeshaji wa hili shirika. Licha ya kwamba linatafuna mabillioni ya walipa kodi, shirika hili limeanza kuwa majanga
Imekuwa desturi Air Tanzania either ku cancel safari zake au kuchelewa kufika. Leo, Abiria kutoka Mwanza kuja Dar , walipigiwa Simu ku report saa 12 jioni. Matokeo yake reporting ikaanza saa 1.50 jioni. Kama haitoshi,
Badala ya kuondoka saa 2.45 kama walivyoambiwa, Abiria wametangaziwa kwamba , ndege yao itaondoka saa 4.30 haiku. Bila ushindani , watanzania watakoma na hizi nauli kubwa kuliko fastjet na precision. Hii ni dalili tosha kwamba shirika hili haiwezi kufika miaka 5 pamoja na kwamba ndege zote zimenunuliwa cash
Kama safari za ndani tu zinakuwa tatizo huko London si utajikuta unapaa na abiria wa4 tu.Fitina haikufanyi uwe bora air Tanzania inapaa kwa viwango vya juu kwa sasa ni gumzo duniani soon tunaenda London straight wee kaa ukisema mabaya Tu.
Air Takeoff Confirmation imeshika kasi.Fitina haikufanyi uwe bora air Tanzania inapaa kwa viwango vya juu kwa sasa ni gumzo duniani soon tunaenda London straight wee kaa ukisema mabaya Tu.
Haiwezi kutokea hiiNdo kusema mashirika yote dunia hayajawahi cancel safari?
Ndege si sawa na baiskeli, vali ikiwa mbovu unakwenda tu, kuna taratibu zake lazima zifuatwe hata taa ikiungua, au birika la kuchemsha chai ndani ya ndege wao ni ndege ina hitilafu, na ili iweze kutoka ni kwa saini ya fundi anayetambuliwa na waliotengeneza hiyo ndege tu.Breakdown ya ndege ambazo tunaambiwa ni mpya imekuwa too much.
Tatizo la hizo breakdown ni nini? Hatuna watalaam wa kuzihudumia? Au labda hazikuwa mpya?
Hayo ni ma used. Hazikuwa mpya. Breakdown ni lazima. Lakini zipangiwe kazi wakijua ni used.Ndege si sawa na baiskeli, vali ikiwa mbovu unakwenda tu, kuna taratibu zake lazima zifuatwe hata taa ikiungua, au birika la kuchemsha chai ndani ya ndege wao ni ndege ina hitilafu, na ili iweze kutoka ni kwa saini ya fundi anayetambuliwa na waliotengeneza hiyo ndege tu.