Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,957
- 10,054
Ameandika KigrikiNdio umeandika nini hicho hapo juu??????.....Naona unatumia cheti cha MWENYEKITI WENU.....ebu nenda kamdai cha KWAKO
Ameandika KigrikiNdio umeandika nini hicho hapo juu??????.....Naona unatumia cheti cha MWENYEKITI WENU.....ebu nenda kamdai cha KWAKO
Mzee ulitaka kumaanisha nini labda? Maana your English is ambiguousfast you have to start with msonga and then come to mr lowassa.
swissme
15 years renewable... nchi tamu sana hiiWakuu nifahamisheni huo mkataba kati ya hao DOWANS, SIMBION, RICHMOND na TANESCO ni wa muda gani? Yaani utadumu kwa miaka mingapi 10, 15, 25, 50, au 99?
Na je ni lazima kuu -renew?
Au ukisha tunaweza kuachana nao wawatafute watu wao wa kuwauzia huo umeme watakaozalisha au wafungashe virago
Unadhani mahakamani utetezi wa "nilielekezwa kwenye simu wakati mzee yupo new york" utakubalika mahakamani? Wale wazee wanataka documents...serikali haiendeshwi kwa simu
huna Elimu ya juu kaa kimya..Mzee ulitaka kumaanisha nini labda? Maana your English is ambiguous
Did you mean first?fast you have to start with msonga and then come to mr lowassa.
swissme
Msonga....are you tanzanian?fast you have to start with msonga and then come to mr lowassa.
swissme
15 years renewable... mmaaae nchi tamu sana hii
What a disgusting wordNITAWALINDA.....
Kuna nyakati au levels serikali inaendeshwa kwa mdomo.Unadhani mahakamani utetezi wa "nilielekezwa kwenye simu wakati mzee yupo new york" utakubalika mahakamani? Wale wazee wanataka documents...serikali haiendeshwi kwa simu
thanks.yes
swissme
Mpaka sasa bado kuna sintofahamu ya mmiliki wa iliyokuwa Richmond! Je, Lowasa atashitakiwa kama mmiliki wa Richmond au kupitisha mkataba tata wa Richmond! Simple to complex, km Lugumi ambayo iko mbichi na wazi hakuna kinachoendelea, kama Escrow bado mbichi na iko wazi hakuna kinachoendelea!!Ningependa sana Lowasa ashitakiwe ili tujue ipi mbivu na ipi ni mbichi.
Tuondoa ukakasi uliopo juu yake.
Ila Mzee wa Msoga naye hachomoki kwa hili.