The Real Hidden World

Mkuu, Emalard umenikumbusha kauli ya shetani, eti anawambia waliokuwa Malaika wa mbinguni ''Mungu mjanja sana amejirundikia madaraka, ni mbaguzi amewapendelea wanadamu walioumbwa kwa tope tu yaani madongo.ujue yeye ameumbwa kwa mwanga, utla violet). Eti Mungu kwa hakika anataka tuwasujudie, msikubali hata sisituna weza''. Theluthi 3 ya malaika wote wakahasi wakamkubali na kumfuata Shweitani mpaka leo, sasa wewe leo hii umerudia yale yale ya mkuu wa ulimwengu alosema bila kujijua dhidi ya muumba wake, umeyatoa wapi kama siyo matunda yake .lazima alikunong'oneza ''kaseme tu''
Humu ndani kuna watu weeengi sana naweza kuwajua kirahisi tu, nani ndiye wa shetani na nani siye wa shetani, sasa basi jiulize asili yako wewe ni wapi?
 
smaki Mimi nataka kujua izo habari za shetani kufukuzwa ni Nani mwenye hakika nazo
 
Waafrika bwana unaweza kudhani amekuja na mada nzuri lakini huidhia kujadiri uchawi, iganga, majini na mauzauza tu.
 
Waafrika bwana unaweza kudhani amekuja na mada nzuri lakini huidhia kujadiri uchawi, iganga, majini na mauzauza tu.


Njia moja wapo ya kupona ni kukubari kuwa unaumwa huwezi kupona usipokubali kuwa unaumwa,
Hatukimbii matatizo but we face the reality
Pia we are not equal hata kidogo mfano mmoja tu mzuri angalia watu wanaofanya biasha ya aina moja wapo watakao lia biashara ni ngumu pia wapo watakaojilaumu kwanini walichelewa kuanza hiyo biashara

So unachokijua sicho kitaaminiwa bali nikwamanufaa yako binafsi tu,
Pia usifikirie kama kila usilolipenda ndivyo ilivyo kwa watu unapofuga mbwa mwingine anafuga paka
Jambo la mwisho ungekuwa unajielewa ungetambua ya kuwa si vema kutoa maoni katika kila post maana sio lazima ya kaisari mwachie kaisari wewe myahudi yatakushinda tu

Pathetic
 
Kinaitwaje
 
Wakuu, kwa anaye hitaji softcopy ya Kitabu hiki cha Napoleon, hii hapa link ya kudownload kwenye Google drive kuna mshkaji wang mmoja anayo softcopy amekuwa mwema kushare link :

Sijui iko sahihi:

Shukran
 
ww
wewe lijamaa unaongea maneno ya dhahab kabisa mm ni muislam ila maneno yako hayana mushkeli kabisa endelea kutuelimisha kijana
 
Hakuna shaka mkuu sema asilimia kubwa ya vitabu nilivyo navyo ni hard copy
nitajitahidi nikiwa nazipata soft copy nitazileta humu
Mkuu, weka majina ya vitabu watu watafute.
 
izo namba hua unaoanisha na nini ili upate jibu
 
Duh
Kwa iyo kama Mungu anamuumba mwanadam anamleta duniani alafu anampenda huyu na kumchukia mwingine huo si ubaguzi???
Ni kweli kijana huru Mungu ni mbaguzi, ndivo alivo ameamua hivo hatabadilika. Kitanda cha baba silalii hata kwa dawa na chumbani kwake siingii hovyo, mpaka kwa ruhusa maalum je huo ni ubaguzi au ni nidhamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…