super thinker
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 370
- 109
Jamaa yangu ana gf wake wanadai wanapendana, jamaa kinamuumiza hawezi kumwachia simu yake even for a minute,anadai eti kuna vitu ni private hawezi mwachia mtu.......jamaa kiujanja ashadakaga facebook account ya huyo gf wake just out of curiosity, there was nothing suspicious,na akazidi kumwamini, demu alipojua hakufurahia. Kuvunja privacy jamaa anamwachia demu wake simu ajinafasi nayo ila demu anadengua akijua lengo la jamaa.........IS IT WISE,AU PRIVACY SHOULD BE RESPECTED INTO RELATIONSHIPS??!!?????!!!