Swahili_Patriot
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 231
- 413
Waganda mna bahati sana. Mtachekwa sana ila nyinyi ni afueni kuliko sisi majirani zenu. Huyo dictator anaisaidia sana nchi yenu. Tz sisi ndio watu hovyo zaidi east africa. Viongozi wetu wanauza miradi mikubwa ya rare minerals kwa manufaa yao. Wameuza hadi gesi na bandari wapuuzi wale. Cha ajabu, hata wao wanapewa pesa za kipuuzi sana.
Kenya ndio mafedhuli na washenzi usiseme. Sisi watz ni kama tunajifunza kutoka kwao. Hawa waliuza hadi sgr. Viongozi wao ni wezi wa mabilioni ya shiling. Viongozi wao ni matajiri hadi raha. Juu ya yote, raisi wao ndio lord of thieves. Nchi yao inapelekwa kimabavu sana. Huyu zakayo wao amepandisha bei kwenye kila kitu. Vitu duniani vimepanda bei, ila kwa Kenya vimepanda pro max.
Uganda endeleeni na dictator wenu. Anawasaidia sana. Haingii mikataba ya kijinga kama wenzake. Mama ni muislam saaaaaaana ndio maana hastahili kabisa kuiongoza nchi. Kenya vuneni mlichopanda, na bado hamjasema, mpaka mseme.
Huyo dictator amezuia hadi ushoga. Angekuwa raisi wa tz basi angetupeleka mbali sana.
Hata kama anampendelea mwanae, ni afadhali yeye. Akipenda hata amfanye mkewe vice preso ni poa tu. Huu uteuzi unamhakikishia a feeling of security. It's worth it, let him feel secure that he may keen the good work to lead you to prosperity. Wachana na sisi tunaoongozwa na watu feki.
Ninamheshimu sana. Ni kiongozi aliyepewa jina baya la udictator ila yeye ni mzalendo 100%. Subirini muone mafuta yatavyowasaidia. Yangekuwepo tz au kenya, basi yangekuwa yashauzwa kwa watu weupe. Mungu amsaidie maisha marefu, atawasaidia sana. Yeye ndiye rais wa pili bora wangu kutokea east African community. Long live 7.
Lastly, I know that my neighbours you don't appreciate this great man. It's OK. Wait till you loose him to know how good he was. Nabii kutopendwa kwake ni kawaida. Ila kwa fikra zangu, mwenyezimumgu amsaodie your great patriotic dictator. Long live 7.
Kenya ndio mafedhuli na washenzi usiseme. Sisi watz ni kama tunajifunza kutoka kwao. Hawa waliuza hadi sgr. Viongozi wao ni wezi wa mabilioni ya shiling. Viongozi wao ni matajiri hadi raha. Juu ya yote, raisi wao ndio lord of thieves. Nchi yao inapelekwa kimabavu sana. Huyu zakayo wao amepandisha bei kwenye kila kitu. Vitu duniani vimepanda bei, ila kwa Kenya vimepanda pro max.
Uganda endeleeni na dictator wenu. Anawasaidia sana. Haingii mikataba ya kijinga kama wenzake. Mama ni muislam saaaaaaana ndio maana hastahili kabisa kuiongoza nchi. Kenya vuneni mlichopanda, na bado hamjasema, mpaka mseme.
Huyo dictator amezuia hadi ushoga. Angekuwa raisi wa tz basi angetupeleka mbali sana.
Hata kama anampendelea mwanae, ni afadhali yeye. Akipenda hata amfanye mkewe vice preso ni poa tu. Huu uteuzi unamhakikishia a feeling of security. It's worth it, let him feel secure that he may keen the good work to lead you to prosperity. Wachana na sisi tunaoongozwa na watu feki.
Ninamheshimu sana. Ni kiongozi aliyepewa jina baya la udictator ila yeye ni mzalendo 100%. Subirini muone mafuta yatavyowasaidia. Yangekuwepo tz au kenya, basi yangekuwa yashauzwa kwa watu weupe. Mungu amsaidie maisha marefu, atawasaidia sana. Yeye ndiye rais wa pili bora wangu kutokea east African community. Long live 7.
Lastly, I know that my neighbours you don't appreciate this great man. It's OK. Wait till you loose him to know how good he was. Nabii kutopendwa kwake ni kawaida. Ila kwa fikra zangu, mwenyezimumgu amsaodie your great patriotic dictator. Long live 7.