The Other Half (Simulizi)


Si wewe peke ako Mrs The Bold.....nilivokua mtoto nilikua nawaza hvo pia naenda beyond the life afu najikuta siwezi kufikiri anymore......nilikua naishia kulia tu
 
Si wewe peke ako Mrs The Bold.....nilivokua mtoto nilikua nawaza hvo pia naenda beyond the life afu najikuta siwezi kufikiri anymore......nilikua naishia kulia tu
Dah acha tu mkuu. Tusubiri hii simulizi huenda ikatutoa tena nje ya dunia kifikra ukubwani
Hahahaaaaaa
 
Mimi nilikua nawaza huyu mungu ni katili kiasi gani hadi aumbe binadamu na wanyama kisha awaangamize kwa kiamaa?,kimsingi swali hili lilinikosesha amani ya moyo.
Dah mtoto ni malaika kweli.
Sasa hivi nimewahi kujaribu kwenda beach mara kadhaa na kujitenga sehemu tulivu kila nikivuta hisia kama zamani haziji!

Mara yatanijea mawazo ya The bold,Bashite,Sizonje hahahaaaaaaa
 
Dah mtoto ni malaika kweli.
Sasa hivi nimewahi kujaribu kwenda beach mara kadhaa na kujitenga sehemu tulivu kila nikivuta hisia kama zamani haziji!

Mara yatanijea mawazo ya The bold,Bashite,Sizonje hahahaaaaaaa
Ndo hivyo hamna namna tena,
 
Kweli sikuwepo ila nipo kama sipo pia,

Nikitulia nitakwambia nami niungwe huko ila kwa sasa sipo whatsapp.

The Team pia wapo????
Karibu sana ummy..

The team sijui wako wapi, naona nao wamejichimbia mafichoni!! Hahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…