The new chidi beenz......!!!!

Haha kwani ni mara ya kwenda soba hauz.... Anaweza rudi tena kule tegeta alipokuwa anabwia...
 
akinichefua alipoingia kwenye siasa za matusi ccm wamemtumia kipindi ana uchizi wakamwacha kwanza jamii imchore kisha wamemrudisha but never be same again hatusui tena maybe abadili fani
 
Ajiombee asirudi tena, maana hakuna wakumuombea watu wana mambo mengi yakuomba hivyo hakuna mwenye muda wa kumuombea asirudi tena huko, ajiombee mwenyewe
 
Nyoka sasa watanenepa kwakua jamaa alikuwa anawalia chakula chao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…