The Nape Question!

The Nape Question!

Kwangu mimi Nape Nnauye ni kama Zito Kabwe wote ni career Politicians, hakuna kingine wanajua isipokuwa Siasa, na ni Siasa za Majungu, Fitina na Mipasho, wanaishi hivyo, sasa sijui watu kama hawa unafanya nao nini?

Unajua mtu mwenye profession yake utasema umrudishe labda Chuoni akafundishe, au umkabidhi Chuo Kikuu aendeshe, lkn sasa Nape Nnauye unafanya naye nini?

Kwa maana kiumri kwa kiasi fulani bado ni mdogo, na kuacha kupiga Gitaa sijui ana ujuzi gani mwingine nje ya Siasa, na hiyo ndiyo kwangu The Nape question, what to do with him?

Magufuli anakuharibu sana kila idara kuanzia kichwani na kwingineko
 
Binafsi si mfuasi wa Nape ila vijana twende vzr na wakubwa zetu. Tuwaheshimu.
Mm nadhani upo nae CHAMA kimoja.
Kupishana mawazo na mitizamo isiwe chanzo cha kejeli, dharau, matusi na kuvunjiana heshima.

Mm siyo muumini wa vyama bali mtu bora. Nape kapitia wakati mgumu sn CCM enzi za JK dhidi ya Lowassa, nk nadhani maisha yake yalikuwa hatarini sn. Ikifikia wakati watu kumuombea kifo. Ila Mungu kamlinda na kamuepusha na roho mbaya

Tuheshimiane kwa utu wetu na tutambue kila mtu ni wa mhimu kwa mchango wake.
 
Binafsi si mfuasi wa Nape ila vijana twende vzr na wakubwa zetu. Tuwaheshimu.
Mm nadhani upo nae CHAMA kimoja.
Kupishana mawazo na mitizamo isiwe chanzo cha kejeli, dharau, matusi na kuvunjiana heshima.

Mm siyo muumini wa vyama bali mtu bora. Nape kapitia wakati mgumu sn CCM enzi za JK dhidi ya Lowassa, nk nadhani maisha yake yalikuwa hatarini sn. Ikifikia wakati watu kumuombea kifo. Ila Mungu kamlinda na kamuepusha na roho mbaya

Tuheshimiane kwa utu wetu na tutambue kila mtu ni wa mhimu kwa mchango wake.


Mimi siyo Mwanachama wa CCM nitakutana na Nape, wapi? Hii ndiyo sehemu pekee ambayo naweza kuandika nilichoandika, isitoshe kama kweli alistahili hizo sifa ulizompa alikuwa hana haja ya kwenda on air kumshutumu mtu ambaye wako Chama kimoja na ni waajiriwa wa Serikali moja, wangekutana huko na kuyamaliza au kutafuta msuluhishi, kwangu mimi nashindwa kuelewa, kwani hata kwenye Kampuni binafsi kinachoamriwa na Mkuu wako wa kazi ndicho hicho na kama hukubaliani nacho basi unajiuzulu nafasi yako au unaacha kazi na sasa unaweza kupinga na kupaza sauti uwezavyo lkn siyo ukiwa bado muajiriwa, kwangu ni ngumu sana kuelewa!
 
Nape na Bashite msaada kwa chama ni nani? leo filimbi na tarumbeta la chama hauoni faida yake? kweli wanadamu wanafiki sanaaa.
 
Mimi siyo Mwanachama wa CCM nitakutana na Nape, wapi? Hii ndiyo sehemu pekee ambayo naweza kuandika nilichoandika, isitoshe kama kweli alistahili hizo sifa ulizompa alikuwa hana haja ya kwenda on air kumshutumu mtu ambaye wako Chama kimoja na ni waajiriwa wa Serikali moja, wangekutana huko na kuyamaliza au kutafuta msuluhishi, kwangu mimi nashindwa kuelewa!
Yah right ...... huwezi kuelewa mambo yaliyokuzidi. Hivi kwa akili ya kawaida tu, wewe unaona haya mambo ni ya kuishia nyuma ya pazia?
 
Yah right ...... huwezi kuelewa mambo yaliyokuzidi. Hivi kwa akili ya kawaida tu, wewe unaona haya mambo ni ya kuishia nyuma ya pazia?


Ndiyo, hasa linapokuja watu ambao mnafanya kazi kwa muajiri mmoja, kulikuwa na namna nyingi kwa maoni yangu ya kulishughulikia hili sasa picha iliyopo kwangu ni kwamba Nape anapingana na Serikali ambayo ndiyo imemuajiri kwa maana kauli ya Raisi ni kauli ya Serikali, ...
 
Hivi unawezaje kumlaumu Nape kwa hatua alizochukua juu ya Makonda......kweli ushabiki unatufanya tukubali upumbuvu uliifanywa na RC......
Huu mtandao unaotumia hapa yani JF, wanadai ofisi zao zilivamiwa. Huyo Nape wako alitoa tako?!! Aliunda tume kuchunguza?? Alienda kuwapa pole na kujua mkasa wote? Alijieleza masikitiko yake yale ya kuanza na KAMA WAZIRI MWENYE DHAMANA!! Huyu jamaa tayari alijiona anaweza kumtetemesha Mkuu. Akwende huko. Hapa tatizo ni bongo movie na kutetea wafanya biashara wa yale mambo yetu.. hamna uzalendo wowote. Hasira zote kazielekeza kwa Makonda bila aibu!
 
Zitto ni mchumi mwenye shahada ya umahiri (masters degree) na mwanafunzi wa shahada ya uzamivu (PhD),Nape pia ana masters yake halali.Hawa ni carrier politicians? Kama ndivyo hivyo,huyo Daudi Albert Bashite ni nani? Nje ya uteuzi anawezakufanya kazi gani zaidi ya kuwa Nyapara gerezani kwa kughushi na kuapa kwa jina feki akitumia Katiba na Biblia?
 
Mimi siyo Mwanachama wa CCM nitakutana na Nape, wapi? Hii ndiyo sehemu pekee ambayo naweza kuandika nilichoandika, isitoshe kama kweli alistahili hizo sifa ulizompa alikuwa hana haja ya kwenda on air kumshutumu mtu ambaye wako Chama kimoja na ni waajiriwa wa Serikali moja, wangekutana huko na kuyamaliza au kutafuta msuluhishi, kwangu mimi nashindwa kuelewa, kwani hata kwenye Kampuni binafsi kinachoamriwa na Mkuu wako wa kazi ndicho hicho na kama hukubaliani nacho basi unajiuzulu nafasi yako au unaacha kazi na sasa unaweza kupinga na kupaza sauti uwezavyo lkn siyo ukiwa bado muajiriwa, kwangu ni ngumu sana kuelewa!
Ww na mm siyo wageni humu. Nakufahamu vzr huenda umdanganye mwingine!!

Uzuri wa Nape hajatetea na wala hajapendelea upande wowote ule ila amesimamia ukweli tu. Acha ukweli uchukue sehemu yake!!

Unae mtetea huyo hana hata robo ya Utumisha ndani ya CCM ukimulinganisha na Nape. Hata in terms of achievement & performance hana!!

Tusiwe vijana wa hovyo ktk Taifa hili. Kama mtu kakosea akanywe au awajibishwe kwa mujibu wa sheria
 
Ww na mm siyo wageni humu. Nakufahamu vzr huenda umdanganye mwingine!!

Uzuri wa Nape hajatetea na wala hajapendelea upande wowote ule ila amesimamia ukweli tu. Acha ukweli uchukue sehemu yake!!

Unae mtetea huyo hana hata robo ya Utumisha ndani ya CCM ukimulinganisha na Nape. Hata in terms of achievement & performance hana!!

Tusiwe vijana wa hovyo ktk Taifa hili. Kama mtu kakosea akanywe au awajibishwe kwa mujibu wa sheria


Kwa hiyo Nape anapingana na Raisi wa nchi ambaye ndiye Mkuu wa Serikali na muajiri wake?
 
Ndiyo, hasa linapokuja watu ambao mnafanya kazi kwa muajiri mmoja, kulikuwa na namna nyingi kwa maoni yangu ya kulishughulikia hili sasa picha iliyopo kwangu ni kwamba Nape anapingana na Serikali ambayo ndiyo imemuajiri kwa maana kauli ya Raisi ni kauli ya Serikali, ...
No Nape anafanya kazi yake kwa mujibu wa cheo chake. Nape alitangaza kwenda Clouds a day before. Kama kulikuwa na tatizo kwa nini hakuzuiliwa!?

Haiwezekani watu wapewe madaraka halafu wasifanye kazi zao mpaka wapewe maelekezo. Kama itafanyika hivyo basi huitaji competent persons kwenye hizo nafasi.

Nape kajaribu kufanya kazi independently inakuwa tatizo. Hivi kweli unategemea kesho atakuwa tena na courage ya kutoa maamuzi binafsi kwa mujibu wa sheria na cheo chake?

Kama ni kuyazungumza nyuma ya pazia, kwa nini Makonda au Mkuu hawakumpigia simu Nape pale alipodai hadharani kuwa atakwenda Clouds the following day? Off course sidhani kama kulikuwa na haja ya yeye kama Waziri kwenda Clouds. Angewaita wote ofisini kwake na ushahidi wao.
 
No Nape anafanya kazi yake kwa mujibu wa cheo chake. Nape alitangaza kwenda Clouds a day before. Kama kulikuwa na tatizo kwa nini hakuzuiliwa!?

Haiwezekani watu wapewe madaraka halafu wasifanye kazi zao mpaka wapewe maelekezo. Kama itafanyika hivyo basi huitaji competent persons kwenye hizo nafasi.

Nape kajaribu kufanya kazi independently inakuwa tatizo. Hivi kweli unategemea kesho atakuwa tena na courage ya kutoa maamuzi binafsi kwa mujibu wa sheria na cheo chake?

Kama ni kuyazungumza nyuma ya pazia, kwa nini Makonda au Mkuu hawakumpigia simu Nape pale alipodai hadharani kuwa atakwenda Clouds the following day? Off course sidhani kama kulikuwa na haja ya yeye kama Waziri kwenda Clouds. Angewaita wote ofisini kwake na ushahidi wao.


Raisi wa nchi ndiyo Mkuu wa Serikali na kauli ya Raisi ni kauli ya Serikali na haijalishi kama ni sawa au siyo sawa, ila wewe kama muajiriwa wa Serikali unapaswa kutii kauli ya Raisi, haimaanishi kwamba haupaswi kupinga lkn unapaswa kupinga ukiwa nje na siyo ndani, ndiyo Dunia inavyokwenda, hivyo tamko la Raisi lilipaswa kumaliza kila kitu kuhusu hii ishu kuhusiana na Nape, na kama angeona siyo haki na alistahili kusema basi alipaswa ajiuzulu, hii ndiyo kawaida na ni Dunia nzima!
 
Hivi Nape anatatizo gani yaani kupinggana na kile kilicho sababishwa na mkuu wa mkoa leo mnamtolea kashfa kwa anayeona kakosea basi amfungulie mashitaka na siyo kumchafua, na wakati huo yeye yupo hapo kusimamia sheria labda nikuulize we mtoa mada hivi wewe ndiyo ungekuwa Nape kwa issue kama hii ungefanyaje kutatua huu mzozo
 
Nape anauchungu kuliko hata Ruge hapa napata wasiwasi na nape maana analia kuliko hata mfiwa
 
Hivi Nape anatatizo gani yaani kupinggana na kile kilicho sababishwa na mkuu wa mkoa leo mnamtolea kashfa kwa anayeona kakosea basi amfungulie mashitaka na siyo kumchafua, na wakati huo yeye yupo hapo kusimamia sheria labda nikuulize we mtoa mada hivi wewe ndiyo ungekuwa Nape kwa issue kama hii ungefanyaje kutatua huu mzozo


Ningefunga kesi yote baada ya Raisi ya nchi kusema alivyosema, kwa maana yeye ndiyo Mkuu wa Serikali!
 
Kiingereza cha aina hiyo kipo, jaribu tu kujielimisha kuhusu Dunia siku moja labda utakutana nalo tu!

Hakuna upuuzi wa lugha kama huwo we kama unajua kizungu andiki uzi wako kizungu kama hujui utachekwa na nanani? kwani lugha hiyo ina husiana na mzazi wako yupi? Zaidi utumwa wa kuendelza tamaduni zisizo kuwa na kichwa wala miguu kwetu.
 
Back
Top Bottom