Kwangu mimi Nape Nnauye ni kama Zito Kabwe wote ni career Politicians, hakuna kingine wanajua isipokuwa Siasa, na ni Siasa za Majungu, Fitina na Mipasho, wanaishi hivyo, sasa sijui watu kama hawa unafanya nao nini?
Unajua mtu mwenye profession yake utasema umrudishe labda Chuoni akafundishe, au umkabidhi Chuo Kikuu aendeshe, lkn sasa Nape Nnauye unafanya naye nini?
Kwa maana kiumri kwa kiasi fulani bado ni mdogo, na kuacha kupiga Gitaa sijui ana ujuzi gani mwingine nje ya Siasa, na hiyo ndiyo kwangu The Nape question, what to do with him?
Magufuli anakuharibu sana kila idara kuanzia kichwani na kwingineko
Huyu jamaa tayari alijiona anaweza kumtetemesha Mkuu. Akwende huko. Hapa tatizo ni bongo movie na kutetea wafanya biashara wa yale mambo yetu.. hamna uzalendo wowote. Hasira zote kazielekeza kwa Makonda bila aibu!