The Nape Question!

The Nape Question!

The Nape Question?????
Kingereza cha wapi hiki??

Si uandike kiswahili tu kwani ungepungukiwa nini?

Uvccm kumbe kuna akina bashite wengi namna hiyo!
Ebu andika alivyotakiwa kuandika basi!
 
Mkuu kuandika hivi kuhusu NAPE unakosea sana huyu ni mtu muhimu sana ndani ya chama.......Hapa la kumlaumu NAPE au MWIGULU juu ya MAKONDA ni wao kushindwa kuona MAKONDA ana kosea na kuamua kumwita pembeni kama MDOGO WAO na kukaa nae chini na kumpa USHAURI kwa yale wanayoona anakosea na si wao especially NAPE kuja adharani na kumkosoa MAKONDA as if si VIONGOZI toka CHAMA kimoja...hapa ndipo NAPE ANAPOKOSEA......
Makonda bado si mjuzi kisiasa UKIMLINGANISHA na level alizofikia NAPE AU MWIGULU......

Awamu hii kazi au mashauriano hufanyiwa kwenye media. Lazima kiongozi aonekane au kusikika akitoa msimamo wake au hata kuagiza kazi na kuwapa onyo watumishi chini yake ndipo aeleweke ni mchapa kazi. Hakuna cha ofisi wala faragha. Kwa kifupi, hakuna kuaminiana. Nani anaweza "kumshauri kitu" Makonda kipindi hiki?
 
Kwangu mimi Nape Nnauye ni kama Zito Kabwe wote ni career Politicians, hakuna kingine wanajua isipokuwa Siasa, na ni Siasa za Majungu, Fitina na Mipasho, wanaishi hivyo, sasa sijui watu kama hawa unafanya nao nini?

Unajua mtu mwenye profession yake utasema umrudishe labda Chuoni akafundishe, au umkabidhi Chuo Kikuu aendeshe, lkn sasa Nape Nnauye unafanya naye nini?

Kwa maana kiumri kwa kiasi fulani bado ni mdogo, na kuacha kupiga Gitaa sijui ana ujuzi gani mwingine nje ya Siasa, na hiyo ndiyo kwangu The Nape question, what to do with him?
Leo yamekuwa haya.. Unamjua Nape kweli au kupitia magazeti tu.. Hebu ka google sentensi "ccm kujivua gamba" afu urudi tuje tujadiliane vizuri kwa hoja
 
Mmeshavuruga serikali, mmevuruga chama, mnavuruga muungano, mnavuruga nchi, na mnavuruga mfumo na kunajisi vyombo vya usalama.
 
Mkuu kuandika hivi kuhusu NAPE unakosea sana huyu ni mtu muhimu sana ndani ya chama.......Hapa la kumlaumu NAPE au MWIGULU juu ya MAKONDA ni wao kushindwa kuona MAKONDA ana kosea na kuamua kumwita pembeni kama MDOGO WAO na kukaa nae chini na kumpa USHAURI kwa yale wanayoona anakosea na si wao especially NAPE kuja adharani na kumkosoa MAKONDA as if si VIONGOZI toka CHAMA kimoja...hapa ndipo NAPE ANAPOKOSEA......
Makonda bado si mjuzi kisiasa UKIMLINGANISHA na level alizofikia NAPE AU MWIGULU......
Hivi bwana mdogo nasikia hashauriki na anawadharau sana mawaziri so watasemelewa kwa baba kuwa wanaingilia mandate ndo maana hakuna wakumshaur daudi
 
Kwangu mimi Nape Nnauye ni kama Zito Kabwe wote ni career Politicians, hakuna kingine wanajua isipokuwa Siasa, na ni Siasa za Majungu, Fitina na Mipasho, wanaishi hivyo, sasa sijui watu kama hawa unafanya nao nini?

Unajua mtu mwenye profession yake utasema umrudishe labda Chuoni akafundishe, au umkabidhi Chuo Kikuu aendeshe, lkn sasa Nape Nnauye unafanya naye nini?

Kwa maana kiumri kwa kiasi fulani bado ni mdogo, na kuacha kupiga Gitaa sijui ana ujuzi gani mwingine nje ya Siasa, na hiyo ndiyo kwangu The Nape question, what to do with him?
The Bashite question
 
Kweli hii ndio Tanzania ya viwanda,Leo hii unamuona nape si lolote kisa bashite? Kweli nimeamini ule usemi "tenda wema uende zako usingoje shukurani"
 
The Nape Question?????
Kingereza cha wapi hiki??

Si uandike kiswahili tu kwani ungepungukiwa nini?

Uvccm kumbe kuna akina bashite wengi namna hiyo!
Hicho kiingereza ni sahihi, wewe tu kihiyo hujui kitu !
 
Vasco Dagama, Smilinig boy, Msikivu asiyejibu, Mpenzi wa wanamziki hasa Diamond, Diplomat guy aliyeweza tembea na kutembelewa na viongozi wenye ushawishi duniani, Mlegeza uchumi wa nchi lakini mleta fursa kwa wanaoweza ku lobby, mpenzi wa dini yake na mhamasishaji wanawake kujisetiri vichwa na miili yao mfano uhamiaji bila mikono mirefu na suruali kubwa huingii au sketi ndefu. Duh hujalidhika tu?
Yeah! Nimeridhika kwa zile suti zilizopata umaarufu eti kapewa na mzungu. Ongeza mcheza disco, mzee kijana, profesa, daktari
 
Kwangu mimi Nape Nnauye ni kama Zito Kabwe wote ni career Politicians, hakuna kingine wanajua isipokuwa Siasa, na ni Siasa za Majungu, Fitina na Mipasho, wanaishi hivyo, sasa sijui watu kama hawa unafanya nao nini?

Unajua mtu mwenye profession yake utasema umrudishe labda Chuoni akafundishe, au umkabidhi Chuo Kikuu aendeshe, lkn sasa Nape Nnauye unafanya naye nini?

Kwa maana kiumri kwa kiasi fulani bado ni mdogo, na kuacha kupiga Gitaa sijui ana ujuzi gani mwingine nje ya Siasa, na hiyo ndiyo kwangu The Nape question, what to do with him?
We ni choko tu
 
Kwangu mimi Nape Nnauye ni kama Zito Kabwe wote ni career Politicians, hakuna kingine wanajua isipokuwa Siasa, na ni Siasa za Majungu, Fitina na Mipasho, wanaishi hivyo, sasa sijui watu kama hawa unafanya nao nini?

Unajua mtu mwenye profession yake utasema umrudishe labda Chuoni akafundishe, au umkabidhi Chuo Kikuu aendeshe, lkn sasa Nape Nnauye unafanya naye nini?

Kwa maana kiumri kwa kiasi fulani bado ni mdogo, na kuacha kupiga Gitaa sijui ana ujuzi gani mwingine nje ya Siasa, na hiyo ndiyo kwangu The Nape question, what to do with him?
It's a billion dollar question....Ila kuna Wanaharakati kama kawaida yao watatukana na kubeza.
Huwa najiuliza, Je ikitokea RC Makonda ajiuzuru/atumbuliwe halafu ahamie CHADEMA, hizi kelele zinazoendelea zitavuma!?
 
Back
Top Bottom