aikaruwa1983
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,398
- 1,504
Yeah bongo wanagonga faini hadi unakiangalia chombo mara mbili unajiuliza hivi ni boxer au chopa namiliki?
acha... utalipia jiji, tambaza, usije mjini(kibali), mgambo, na yule jamaa anazunguka na diffender a.k.a Vicent (Kanumba) huyu jamaa ili utoe dau zuri selo ya msimbazi utaijua tu..