Usisubir mpaka aseme. Mwingine hasemi ila anakutesa mpaka uondoke mwenyewe. Kama u dont feel right about it then let it go.Mimi nimeishia tu kuteseka miezi na miezi. Nilikuwa na kilo 64 lakini baada ya miezi minne ya mateso nimebaki na kilo 53 na bado sijamuacha. Muda mwingine nawaza tu hivi siku akinitamkia kwa kinywa chake "Sikupendi" ama "Tuachane.. dah! Ntaumia sana na hakika cha moto ntakiona.