Borntkkasu
Member
- Feb 22, 2019
- 68
- 51
Quadrippadle is our aim
We made it
Hapana lilikua ni swala la muda tuKwamba swansea city anataka kuwatoa
Hahah hizi game za kutangulia kufungwa zinapresha sana
Lilikua swala la muda tu jirani sasa hv na wewe pambania hali yako huko
Majirani ni nini hii mnafanywa?
Super Sub hiyo ndio imeokoa jahazi
Hahah mlishaanza na hizi lawama jamani?
Kila team tunayo cheza nayo inacheza kwa kuji overwork lengo kutudharilisha kama hiki ki team kilikuwa kinataka kubeba sifa isiyo kahusu duh tumekikomesha.#Kila hatua dua
#Kila game fainali
Hahahah!! Hii timu sasa hv kila mtu anaiogopa sana lazima wakati wa game mpinzani abane matako na meno sasa kocha awe makini kuruhusu wapinzani kutangulia maana tukikutana na mpinzani mwenye ukuta imara zaidi itakula kwetuKila team tunayo cheza nayo inacheza kwa kuji overwork lengo kutudharilisha kama hiki ki team kilikuwa kinataka kubeba sifa isiyo kahusu duh tumekikomesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiran kafaapHahahah!! Hii timu sasa hv kila mtu anaiogopa sana lazima wakati wa game mpinzani abane matako na meno sasa kocha awe makini kuruhusu wapinzani kutangulia maana tukikutana na mpinzani mwenye ukuta imara zaidi itakula kwetu
Wamelia sana mwishonKila team tunayo cheza nayo inacheza kwa kuji overwork lengo kutudharilisha kama hiki ki team kilikuwa kinataka kubeba sifa isiyo kahusu duh tumekikomesha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusubiri FT ndio tuongee sana
LAZIMA WALIE SIO SIRI WALIKAZA
mfatilie jiran yako huko