kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
YNWA
Last five games
Ndo utajua leo kama anamatatizo ya kijinsia ama wewe ndo unayo. City akipigwa leo basi jamaa anamatatizo ya kijinsia ila liverpool akipigwa leo basi wewe ndo utakuwa na matatizo ya kijinsia. Kesho tukianza kumsifia mwenye matatizo ya kijinsia usianze kusema unatukanwa. Omba mshinde.Last five games
Liver 4 wins
Man c 0
1 draw halafu unatukana una matatizo ya kijinsia ww sio bure
Wewe unajua kujibu. Nina safari zangu
Umekubali matokeo? Nilikuambia nachinja jogoo leo
Na nyama yake hailiwi hata na kunguru
Wewe unajua kujibu. Nina safari zangu
Umekubali matokeo? Nilikuambia nachinja jogoo leo
Kwema humu humu wakuu?
Nilikuwa nataka kujua kama msiba wa huyu mhamiaji haramu watazikia humu au maiti itasafirishwa.
naona pumzi imekata
Ndo kusema ndugu wametekeleza maiti kabisa? Hata jiran wa kuzika hakuna?
YOU WILL NEVER WIN ANA THING
YNWA, you will never win any thingNaona mmefufuka sasa ila tarehe 3 wote mtapoteana humu
Mnajkuta sana nyie.
Kenge kwel wwMnajkuta sana nyie.
Ww s ulikuw unashangilia mm kupigwa na wengne!!!!?
Sasa mim nashangilia kukugonga ww.
Nilikuwa nashangaa vimtu eti city saiv mdebwedo, khaaaaa!!!
Kweny mpira kuna kupanda na kushuka,,,, sasa Mimi nilishuka kidgo tu,,,,.. vimidomo vireefu vyeusi kama kunguru.
Niliwaambia hamjayapata maumv ya kufungwa msimu huu, mkavimba mavichwa utafikil league yenu hiyo.
Na mbaya zaidi mm ndo nimekuonjesheni hayo maumiv ya kutolewa bikra. Mtulie hivo hivo maumiv yawaingie vzr.
Mohamed Salah ndo mchezaj pekee aliegusa mpira mara chache zaidi had dkk 90.
Forward line yote ilipotezwa na mabeki wetu. Et tuna beki mbovu?????
Sasa nasemaje
Kuku kala mchele asubui, jioni kaliwa na wali.
YOU WILL NEVER WIN ANYTHINGView attachment 985755
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kufungwa tu. Liverpool haijawahi shinda mechi mwaka huu. Halafu wanasema wanagimbania kombeMnajkuta sana nyie.
Ww s ulikuw unashangilia mm kupigwa na wengne!!!!?
Sasa mim nashangilia kukugonga ww.
Nilikuwa nashangaa vimtu eti city saiv mdebwedo, khaaaaa!!!
Kweny mpira kuna kupanda na kushuka,,,, sasa Mimi nilishuka kidgo tu,,,,.. vimidomo vireefu vyeusi kama kunguru.
Niliwaambia hamjayapata maumv ya kufungwa msimu huu, mkavimba mavichwa utafikil league yenu hiyo.
Na mbaya zaidi mm ndo nimekuonjesheni hayo maumiv ya kutolewa bikra. Mtulie hivo hivo maumiv yawaingie vzr.
Mohamed Salah ndo mchezaj pekee aliegusa mpira mara chache zaidi had dkk 90.
Forward line yote ilipotezwa na mabeki wetu. Et tuna beki mbovu?????
Sasa nasemaje
Kuku kala mchele asubui, jioni kaliwa na wali.
YOU WILL NEVER WIN ANYTHINGView attachment 985755
Sent using Jamii Forums mobile app
Na haliwezi kushinda mechi yeyote mwaka huuSio kufungwa tu. Liverpool haijawahi shinda mechi mwaka huu. Halafu wanasema wanagimbania kombe
Sio kufungwa tu. Liverpool haijawahi shinda mechi mwaka huu. Halafu wanasema wanagimbania kombe