Mbeumo yule jitu kazi sema shida nyumbu wanaua nyota za wachezaji.Sisi tunapigania kina Mbeumo😭
Mbeumo unamuonajeSisi tunapigania kina Mbeumo😭
Hapo Foden akiwa kwenye form aisee naenda na Foden-Haaland-Marmoush.
Uzuri ni kwamba, Foden, Marmoush na Cherki ni versatile.Hapo Foden akiwa kwenye form aisee naenda na Foden-Haaland-Marmoush.
Hapa tukipata na kiungo anayeweza kucheza 8 na kuzima DM kwa ufasaha treble nyingine ilee.Uzuri ni kwamba, Foden, Marmoush na Cherki ni versatile.
Kuna Nico na huyu mpya Tijjani., Hawa wote ni box to box midfielders wazuri tu.Hapa tukipata na kiungo anayeweza kucheza 8 na kuzima DM kwa ufasaha treble nyingine ilee.