Calhanoglou ana miaka 31, timu ipo kwenye rebuild usitegemee ikaleta mchezaji mwenye 30+Naona wangemchukua Hakan Cahlanoglou yupo vizuri, ila ngoja tuone kama mrithi wa KDB atapatikana.
Duh me nikajua ana 20s kumbe kala age kinoma!Calhanoglou ana miaka 31, timu ipo kwenye rebuild usitegemee ikaleta mchezaji mwenye 30+
Kashakula chumvi huyooDuh me nikajua ana 20s kumbe kala age kinoma!
Hawezi toa labda achaguausiala au wirtz?😄Yeah, kwa Bayern wanataka €150m, kwa timu nyingine yeyote nje ya ujerumani wanataka €100m.
Sasa sioni bayern akitoa hiyo hela.
Sema physicality ya wirtz ni ndogo, ila kama yamal anacheza na ana paja kama zuchu atacheza tu😅Ukiangalia aina ya sajili tunazotaka kufanya, unaona kuna tactical shift inaendelea.
Inaonekana kutakua na ongezeko la physicality na directness kwenye mchezo wa city ya msimu ujao.
Wirtz yuko direct sana kwenye uchezaji wake, kitu ambacho kitamfaidisha HaalandSema physicality ya wirtz ni ndogo, ila kama yamal anacheza na ana paja kama zuchu atacheza tu😅
Haaland alikua injury ndio alirudi game ya juzikati ya Southampton.Halland yuko wapi mbona hafungi siku hizi
Yeah, alikuwa na baba yakeOya wazee naona wirtz Jana ali kuwa pale man city
Nahofia fitness yake EPL kugumu, naonaga musiala yuko fit zaidiWirtz yuko direct sana kwenye uchezaji wake, kitu ambacho kitamfaidisha Haaland
Wacha tuone.Nahofia fitness yake EPL kugumu, naonaga musiala yuko fit zaidi
Walitumia vigezo gani kuchagua hizo team? City na Chelsea ndio naziona. Nyumbu, vijogoo washika vipistol siwaoni.A month to goView attachment 3333907