Lever hawaraki wirtz aende bayern, Wanapush aje huku au abaki hapo hapoRipoti zinasema Florian Wirtz na baba yake Hans Wirtz walikuwa England leo kwa ajili ya mazungumzo na city (Pep).
Wamerejea Ujerumani jioni ya leo.
Yeah, kwa Bayern wanataka €150m, kwa timu nyingine yeyote nje ya ujerumani wanataka €100m.Lever hawaraki wirtz aende bayern, Wanapush aje huku au abaki hapo hapo
RelegationWhat happens if City is proved guilty of the 115 charges?
Duh 🙁Relegation
Point deduction
Striped of titles.
Mojawapo ya hizo potential punishment
Naona wangemchukua Hakan Cahlanoglou yupo vizuri, ila ngoja tuone kama mrithi wa KDB atapatikana.Tupo kwenye mazungumzo na AC milan kwa ajili ya Tijjani Reijnders, bonge moja la box to box midfielder.
Mazumgumzo yapo hatua ya awali ambapo yataendelea baada ya fainali ya Copa Italia.