The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Tumekanda nyumbu kwenye mechi za machalii.
IMG-20250509-WA0041.jpg
 
First eleven ya majeruhi tuliyopata msimu huu ambao wamekosa mechi zaidi ya 9 kila mmoja kwa nyakati tofauti tofauti.
IMG-20250510-WA0000.jpg
 
Divin Mubama, a monster in the making, jana kawaweka nyumbu goli 2.
IMG-20250510-WA0007.jpg
 
Anaitwa Wesley Franca, mbrazil miaka 21, right back, price tag ni £30m.
IMG-20250510-WA0008.jpg
 
Siku kama ya leo, mwaka 2022, klabu inatangaza rasmi kufikia makubaliano na Erling Haaland.
IMG-20250510-WA0013.jpg
 
Siku kama ya leo, mwaka 2011, tunafuzu UEFA kwa mara ya kwanza.
IMG-20250510-WA0014.jpg
 
Roberto Mancini took city to their first Champions league tournament.
IMG-20250510-WA0015.jpg
 
Niko soo interested kuona line up ya leo itakuwaje.

Will O'Reilly be deployed on the midfield?
 
Back
Top Bottom