Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,258
- 21,436
Chumaa 3
Gvadiol
Gvadiol
Kwenye msimamo wa gd kwani bado ngapiFulham 0-3 man city
73 min 🤣🤣
Tulia weweeeMaghayo njoo na The Stress Challengerr muone mwanaume anavyopeleka motoo, muache kushusha nyuzi za Kiwaki
Sisi tunashinda ligi Kwa kumzidi Arsenal point ....sio GD ...Kwenye msimamo wa gd kwani bado ngapi
Toka mwanzo nilisema anapigwa Goli NNE ...Early kick off Leo
Naona mashabiki WA Arsenal wote wameelekeza nguvu zote Kwa Fulham ...
Imefika hatua hadi wanamuahidi Leno kununuliwa saaa mpya kama anaweza kupata matokeo dhidi yetu ...
Kina Willian wote washapewa bahasha huko Fulham kuipambania arsenal 🤣...
Nasemaje ......nasemaje ....nasemaje .... Fulham Leo anapigwa kama mbwa Koko
Ft
Fulham 0-4 man city
Sisi tunashinda ligi Kwa kumzidi Arsenal point ....sio GD ...
Huyo Spurs wanayemtegemea na alivopoteana week hizi mbili nyuma anaenda kupigwa 5+ goal pale kwake ...
Hakuna kupoteza game mpaka may 19 ....bado moja inabidi wazidiwe point na gd
Tottenham itainyima City ubingwa jummanneKuna maswali tena
Mtafanya mbape apaki basi kama vini,jude na rodri wakati wakina foden wakiginga mali na kuenjoy football ,nyinyi kazi ya wachezaji wenu ni kukaa nyuma kwa uwoga maana ni mentality ya team ndogo.Uviziaji sio tabia ya team kubwa ,unapaswa kushinda kwa ushawishiKWANZA MMESIKIA MBAPPE NDO ANATUA LOS BLANCOS HUKO
Kazi mnayo mkikutana na front 3 yetu vinny mbapp rodrygo
timu kubwa kama spurs inayofanya timu ndogo kama city ikae nyuma waki parkbus uongoMtafanya mbape apaki basi kama vini,jude na rodri wakati wakina foden wakiginga mali na kuenjoy football ,nyinyi kazi ya wachezaji wenu ni kukaa nyuma kwa uwoga maana ni mentality ya team ndogo.Uviziaji sio tabia ya team kubwa ,unapaswa kushinda kwa ushawishi