Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,276
- 123,717
Grealish ameshika mpira zaidi ya mara moja, na hilo tukio unalolizungumzia wewe la kuficha mikono limefanyika mara moja.Grealish alikuwa kashaweka mikono kwenye mwili ,hata mpira uguse mkono sio foul ...kashaficha mkono ....
Mnaangalia mpira hata kujua mpira hamjui .....kashabikieni mieleka ..
